Recent content by IBRABABRA

  1. IBRABABRA

    Magufuli, wewe ni Rais wa Tanzania sio Kanda ya Ziwa tu

    Angalia records zako vizuri hajawahi fika Njombe toka alipochaguliwa.
  2. IBRABABRA

    Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

    Ni sitting room na chumba self
  3. IBRABABRA

    Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

    Bei 350k kwa mwezi malipo kuanzia miezi 6
  4. IBRABABRA

    Nyumba inapangishwa Morogoro

    Sorry malipo ni 350,000 kwa mwezi malipo ni advance payments kwa mwaka ingawa kwa majadiliano inaweza kulipiwa hata kwa miezi Sita (6) na nyumba itakuwa available from January 2018
  5. IBRABABRA

    Nyumba inapangishwa Morogoro

    Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na Toilet nyingine ya inje in case una function yoyote,Pia kuna storage tank ya ujazo wa lita...
  6. IBRABABRA

    Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

    Ipo kihonda karibu na st.Fransis seminar Ina bedroom 3,Moja ni self,Maji,umeme Luku ya pekee yake ,Geti
  7. IBRABABRA

    Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ajivua Ubunge; ajitoa CCM na kuomba kujiunga CHADEMA

    Well done Nyalandu umetumia utashi wako Barabara
  8. IBRABABRA

    Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

    Athuman Kabongo Mkuu wa Mkoa Iringa
  9. IBRABABRA

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Choo zilikuwa mbali sana tulikuwa tunapaita halfmile Sent using Jamii Forums mobile app
  10. IBRABABRA

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Pia kulikuwa Na mwl Mwakabanje wa chemistry Sent using Jamii Forums mobile app
  11. IBRABABRA

    Natafuta chumba cha kupanga Morogoro

    IPO Kihonda karibu Na St.Fransis one room self contained LUKU Yake.Nyumba INA geti bei ni Tsh 150000 kwa mwezi
  12. IBRABABRA

    Ushauri: Ninunue kiwanja au nifanye biashara?

    Nunua KIWANJA.pia hiyo Bei ni nzuri sana kwako hata kama hakijapimwa.kwa wastani utakuwa umenunua square meter moja chini ya Tsh 840
  13. IBRABABRA

    Riwaya: Kikosi cha Kisasi

    Mkuu naomba unielekeze nikanunue kesho
Back
Top Bottom