jibril beder
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 236
- 235
Na mimi pia mkuuNtakutumia Mkuu
Na mimi pia mkuuNtakutumia Mkuu
Mchumba au nzengo imara , hujaeleweka bado unatuchanganyaJaman ninataka room ya kupanga morogoro iwe self contained pia security iwepo
Ipo kihonda karibu na st.Fransis seminar Ina bedroom 3,Moja ni self,Maji,umeme Luku ya pekee yake ,Geti
Iyo si bei ya mbezi dar es salam brotherBei 350k kwa mwezi malipo kuanzia miezi 6
150000 single room???? Hapo hapana mkuu
Mbitiyaza Kumbe we mluguru mweee!'wanauza' yap blak pako poa!me ndo napaelewaga! mor hotel vitoto vng kwel vya kihindi15-27yrs arghhh
Mrs Van,Mi jirani yako, Niko Pia Maghorofan, Ikipendeza inabidi tufahamiane aseeHeheee kumbe na wewe wa Moro. Mie Kihonda maghorofani.
Mbitiyaza Tufahamiane,Mimi kihonda maghorofaniyeah
Mbitiyaza Tufahamiane,Mimi kihonda maghorofani
Iko maeneo gani?. Nahitaji piajumla si 4 teyali viwili kulala na sebule+jiko ama andaa 120,000 kwa mwez apo
Mitaa ya home hiyo kilakala sehemu gani mkuu mimi nipo kilakala kwa winger mwisho wa haiceKilakala kuna nyumba ina vyumba vitano, nimehama juzi juzi tu, kodi laki 3
Modeco sio uswazi mkuu. Ni njia kama unaenda mazimbu campus. Ni eneo zuri kushinda hata Kihonda mimi nilishawahi kuishiMmmh uswazi tenamimi sitaki ishi uswazi aisee
Moro sehemu nzuri ambazo sio za kiswazi ni forest tu? Mi pia sipajui hukohaaaa huijuh moro wew sis tumezaliwa apo shida ya maji ipo ila ipo mitaa haina shida ya maji kabisa nikianza na mtaa nilipozaliwa kweli maji yanatok 24hrs kama id yangu... ahaaaa karibu moro town