Recent content by ibonyjr

  1. ibonyjr

    Fahamu Aina za Kodi Zinazotozwa Pindi unapoingiza Gari Nchini

    Kwa style hii sjui kama ntamiliki gari
  2. ibonyjr

    Ha tunnel inasumbua muda mwingi inahitaji ni add time

    Oy mwamba naomba nisaidie file la unlimited airtel
  3. ibonyjr

    Apple yapigwa faini Tsh. Bilioni 46.6 kwa kuuza simu bila chaja

    Unauziwa gari jipya ila halina matairi huo si ufala pro max kabisaa[emoji2][emoji3516]
  4. ibonyjr

    Amps, Volts & Watts ni nini? Kwanini Simu Yako Haichaji?

    Barikiwa sana nimejifunza kitu kipya leo
  5. ibonyjr

    Msaada wa kurejesha namba za simu

    habari za muda huu wana jamvi hope mko poa, kama nlvotangulia kusema hapo juu naomba mnisaidie kupata ile link ya kurejesha contacts zilzopotea maana nimejitahidi sana kuusaka ule uzi humu lakini sikufanikiwa nikaona itakuwa vyema kama nitalisogeza kwenu
  6. ibonyjr

    Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    Hammaga kijana wa 41yrs wewe upo kwenye kundi la wazee wastaafu
  7. ibonyjr

    Tuambie Unamiliki Gari bila kusema direct kwamba Una gari

    Kwa mliopo dar wapi naweza pata power window ya v8
  8. ibonyjr

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa TAMISEMI na IGP

    Daah inauma sana hao ikibidi wasomewe dua mbaya wakaangamie huko
  9. ibonyjr

    Tanzania hatuna Comedians bali tuna waropokaji tu. Comedians wa Kitanzania humwelewi kama hujui lugha anayotumia jukwaani

    Huwa nawaekewa sana comedians kutoka Kenya ndo wananmaliziaga mb zangu kule mjini yutubu
  10. ibonyjr

    Chakula gani hujala muda mrefu?

    Mnyaturu og
  11. ibonyjr

    Mambo 20 ya kumuambia mpenzi wako Kila siku

    Ni kweli wanawake wanapenda kusifiwa ila nadhani kwao pesa ndo kitu cha muhimu zaidi
Back
Top Bottom