Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,489
- 37,779
Sawa, angalau huyu ni comedian.Mcheki huyu schoolmate wangu, naamini yupo vizuri sana MC Madevu, whenever we meet jamaa anatuchekesha hadi mbavu zinauma.
Sawa, angalau huyu ni comedian.Mcheki huyu schoolmate wangu, naamini yupo vizuri sana MC Madevu, whenever we meet jamaa anatuchekesha hadi mbavu zinauma.
Duh! alichemka sanaYaan Masanja juzi ndio kaongea Ushuzi
Ktk.ulwengu wa diplomasia huwezi kuruhusu ujinga ule eti Tutest mitambo na nchi fulan
Yuko vizuri, simsifii kwa vile namfahamu. Nikiangalia vichekesho vya baadhi ya hawa jamaa sioni kinachonivutia.Sawa, angalau huyu ni comedian.
Chris RockMimi kwenye standup comedy namkubali Deogratius.
Yule nakubali anavyojua kuunga matukio halafu yaka make sense. Standup comedy lazima ujue lugha inayozungumzwa ndo utaelewa. Hata akina Kelvin Hart au Basket Mouth kama hujui lugha huwezi kucheka kwakuwa hutoelewa.
Mimi naenjoy zaidi standup comedy.
Labda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinomaChris Rock
Hio series nnayo had leo nakumbuka nimeiweka kwenye pc yangu 2014 hadi leo sijawahi kuifutaLabda huyo. Everybody hates chris. Nilikuwa nacheka kinoma
Kwa hakika siwezi kupoteza muda wangu au data kumtazama mchekeshaji wa Kibongo. Hawa wachekeshaji wetu mimi ninawaita waropokaji.
Comedy ya wenzetu wengi utacheka na kufurahi hata usipoielewa lugha wanayoitumia jukwaani.
1. Comedy ya Kibongo imekosa ubunifu.
2. Wanadhani mpaka leo mavazi yanaweza kumchekesha mtu.
3. Komedi ya Bongo ni kwa Watanzania tu kwani inabeba mazingira ya Kibongo tu.
4. Imejaa kelele(uropokaji) tu haijulikani inahusu nini.
Hebu cheki hii clip chini ujionee comedy ya wenzetu.
View attachment 2040040
Joti anakosa team nzuri tu ya kufanya nayo kazi ila joti ni legend wa level za kimataifa. Kuweza kuwa na character zaidi ya tano si kazi ndogo.Lakini Joti anajitahidi sana ukweli usemwe,
Hao wengine sijaona ila kwa Joti angalau anaweza kukufanya ucheke, napenda anavyoweza kubadilika badilika kuanzia Mtoto, kijana mtukutu, kijana wa makamo, dada wa mjini hadi mzee kikongwe,
I love that.
Na kuvaa matambala ya deki. Na maviatu ya ajabu kutembea kama bata....Bongo comedy bila kuonesha Mat@ko, makelele haijawa.
And its a load of crap.Starter pack ya comedian wa kibongo;
Kuvaa nguo za kike.
Kubadilisha sauti, kuongelea puani.
Kuifanya hamnazo.
Kuropoka ovyo.
Wakishapata umaarufu kidogo kama Mpoki ni kuanza kutukana watu kwa kisingizio cha kuchekesha.
Waliopata exposure kidogo, kama Idris Sultan wao hujichekesha wenyewe kwa kuongea upumbavu usiochekesha.
In short ma comedian wa kibongo wana mwendo mrefu mno mpaka kujua maana halisi ya comedy.
Shida ni hao wanaowaalika kwenye halaiki kama ile ni kuitia aibu nchiYaan Masanja juzi ndio kaongea Ushuzi
Ktk.ulwengu wa diplomasia huwezi kuruhusu ujinga ule eti Tutest mitambo na nchi fulan