Recent content by Iammoshyn

  1. Iammoshyn

    Nina mtaji wa milioni 7 msaada nifanye biashara gani

    Fanya biashara ya Nguo za ofisini za wanawake au chakula.
  2. Iammoshyn

    Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

    Tuma picha tuone tatizo lipo wapi.
  3. Iammoshyn

    Why Christianity is at a high decline in Europe at the expense of Islam?

    Jazakha Allahu khery M/Mungu akufanyie wepesi. Ukiwa na Imani ya kweli haina haina haja kumhofia binadamu mwenzio Bali Mwenyezi Pekee ndie wa kuhofiwa.
  4. Iammoshyn

    Mwaka mmoja ndani ya Merigos Fleury Prison

    Shusha story mkuu achana na wajuaji.
  5. Iammoshyn

    Nauza set ya vifaa vya carwash

    Bei gani vyote hivyo mkuu.
  6. Iammoshyn

    Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

    Kumbe mmeachana juzi tu, subiri ifike angalau mwaka hivi.
  7. Iammoshyn

    Rais wa Chile anusurika kuondolewa madarakani

    marangirangi tu Naona.
  8. Iammoshyn

    Rais wa Chile anusurika kuondolewa madarakani

    hatari sana mambo ya color uzi umekuwa wa color tu.
  9. Iammoshyn

    Maalim Seif na mimi

    Assalam Alaykum Mzee Mohammed Said hakika wewe ni muandishi mzuri sana Mzee heshima yako.
  10. Iammoshyn

    Ukishafanikiwa kwenye maisha ni hatua gani nyingine inafuata?

    Jamaa amezungumzia mafanikio wale wakina Mark wameendelea lakini bado hawajafikia mafanikio walio jipangia.
  11. Iammoshyn

    Ukishafanikiwa kwenye maisha ni hatua gani nyingine inafuata?

    Kila mtu anatafsir yake ya mfanikio.
Back
Top Bottom