Daaaah yaani haya yote yanatokea miaka hii hii, ata sio historia tuseme nahadithiwa na babu yangu and still i know nothing about it hahahaaa:D
:D:D
yaani 2017 hii hii
Kwani kadiri ulimwengu unavojitanua si ndio hivyo hivyo galaxies nazo zinajitanua
Kuna sehemu nimesoma imeandikwa kua universe ni Kama bofu(puto) liliochorwa madoto labda kwa kutumia kalamu kwa mfano
Then kila unapolijaza upepo ilo bofu na yale madoto nayo huwa yanatanuka lakini...
hahahaaa kumbe tukikua juzi tukio lenyewe limetokeajuzi kati tu mie nlikua nshazaliwa
ila uyo mkorofi Basil simpatii picha nina wasiwasi ana miaka 87 si unajua utu uzima dawa :):):D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.