Mkuu the bold samahani,naomba kueleweshwa jinzi ya kupata simuliz zakwo,npe ata link tu ntashukuru mkuuEPISODE 16 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
![]()
Karibu..Uzi mzuri
Leo hii baadae itakuwa hewani..Mkuu habari za usiku huu ep 17 bado nacheki kule kwenye website naona bado
Pamoja sis! Karibu..Ngoja niwahi shukrani the bold ubarikiwe
Pamoja sana mkuu..Iko vzr sana
Bofya hapa mkuu.. Simulizi za the BoldMkuu the bold samahani,naomba kueleweshwa jinzi ya kupata simuliz zakwo,npe ata link tu ntashukuru mkuu
mkuu hizi picha huwa unazitoa wapi daah zinanikumbusha movies flanflan za kutisha. ila nakupongeza kila picha inaendana na episode husika.EPISODE 17 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
![]()
Hahaha! Nina stock kubwa sana ya pics kwa ajili ya hii simulizi..mkuu hizi picha huwa unazitoa wapi daah zinanikumbusha movies flanflan za kutisha. ila nakupongeza kila picha inaendana na episode husika.
mungu akubaliki mkuuEPISODE 17 IKO HEWANI TAYARI.... TAFADHALI TEMBELEA TOVUTI ILI KUISOMA...
kuisoma kwa urahisi, nenda juu kabisa pale kwenye "Trending" utaiona au shuka chini kabisa kwenye Categories kisha chagua "SHORT STORIES"...
![]()
Pamoja sana mkuu.. Shukrani!asante sana mkuu hii hadithi yako ni HADITHI YA KULEVYA hahaha....
cant wait for next episode....
Amen! Shukrani mkuu..mungu akubaliki mkuu
Asubuhi hii nitaweka episode..Asante sana kaka.
Lakini kama fupi sana hivi jamaniii. Hadithi imenilevya
Shukrani sana mkuu kwa ushauri huu murua...Mkuu The bold unaonaje uka customize blog yako ukaweka kitufe cha kusearch?? Maana si tunaotumia simu (sijajua kwa kompyuta) ukienda pale chin kwene category afu short stor znakuja baadh ya story ambazo ushazisoma maybe na znafunguka automatic kila ukijaribu.
Mkuu ingekuepo search button ungeturahisishia sana