Recent content by hyassin92

  1. hyassin92

    Kumekucha usaili wa ualimu

    Majina yametoka??
  2. hyassin92

    Nahisi kuwa kwa 85% mawasiliano ya simu hayana faragha na sio salama kabisa

    Acha kufanya mawasiliano na demu wa mtu, kiasi icho mzee hadi telegram, mara namba nyingine , pia unaonekana umeanza kutamani SODA YA MGENI
  3. hyassin92

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Mungu ni wetu sote
  4. hyassin92

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Vijana kueni humble sna mambo mazuri yaja , kama unataaluma hakikisha umejisajili Ajira portal, then kuwa active, utumishi wanatoa sana ajira, mungu ni wetu sote, amen
  5. hyassin92

    Tofauti ya Zuhura Yunis na Wakurugenzi wa Mawasiliano ya Rais waliomtangulia

    Mwana dada anajitaidi pongezi nyingi kwake.
  6. hyassin92

    Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

    Unajua lilepaper lilikuwa simple sana , Ivyo basi watu wengi kwanza wamefaulu na wengine kukongana Mark's,
  7. hyassin92

    Waziri Masauni: Matukio ya mauaji nchini yananinyima usingizi

    Na WMNN, Kilimanjaro WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, kumletea majina ya askari Polisi wanaojihusisha na matukio yasiyo ya maadili ili aweze kuwashughulikia. Amesema lengo la kuwashughulikia askari hao wasiowaadilifu ambao ni...
  8. hyassin92

    Humu kuna wanaume serious kweli

    Subiri wakati wa mungu dada yetu
  9. hyassin92

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wazee ndo kimya kabisa
  10. hyassin92

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Wazee toeni hints za interview uhamiaji tafadhali
  11. hyassin92

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Mbona vijana wa uhamiaji wametulia zao tu,
Back
Top Bottom