Umenena vyema...Cha muhim tu kuwa hakuna mtu anaetakiwa kukata tamaa as long kila mtu yupo katika kutengeneza mafanikio basi hatuna budi kupambana huku na huku na Mungu mwema atatufikisha pale tunapostahil kufika...tuzingatie kujituma, kukimbilia Fursa na kuishi na watu vzuri lakini Cha zaidi na zaidi ni kujikabidhi mikononi mwa Mungu ili kilakitu kifanyike sawasawa na mapenzi yake...Jifunze kushukuru hata ukikosa nafasi wakati huu amini utapata wakati mwingine unaofaa kwaajili yako
Mi nilishakunywa maji kitambo moyo unaelea tuCha muhim tu kuwa hakuna mtu anaetakiwa kukata tamaa as long kila mtu yupo katika kutengeneza mafanikio basi hatuna budi kupambana huku na huku na Mungu mwema atatufikisha pale tunapostahil kufika...tuzingatie kujituma, kukimbilia Fursa na kuishi na watu vzuri lakini Cha zaidi na zaidi ni kujikabidhi mikononi mwa Mungu ili kilakitu kifanyike sawasawa na mapenzi yake...Jifunze kushukuru hata ukikosa nafasi wakati huu amini utapata wakati mwingine unaofaa kwaajili yako
🙏🏾Shukran mkuuUmenena vyema...
🙏🏾ShukUmenena vyema...
Yah sure aise ..hiyo ndo muhim SanaKwa waliobahatika kuitwa ajira uhamiaji hongereni karibuni Sana Tanga . Nawapa malekezo ya kufika boma kichakamiba nafaham kuna wengi wageni hawajawahi fika .ipo hivi Mabasi yanashusha watu kange stand pale ,ukifika kange stand uliza daladala za kuja mjini au stand ya zamani ukipanda waambie wakushushe stand ya zamani nauli ni 400 , ukifika apo stand uliza daladala za nguvumali zinapaki wapi panda hizo daladala za nguvumali nauli 400 waambie wakushushe mwembe mawazo apo mwembe mawazo ndipo utapata gari za kwenda sehemu husika Kabisa uliza waambie nataka gari za boma naelekea boma kichakamiba utapelekwa ukipanda gari waambie wakushushe boma kichakamiba ..itakuwa ushafika safari njema kwenu karibuni Sana Tanga
Ume show love saafii👏🏾Kwa waliobahatika kuitwa ajira uhamiaji hongereni karibuni Sana Tanga . Nawapa malekezo ya kufika boma kichakamiba nafaham kuna wengi wageni hawajawahi fika .ipo hivi Mabasi yanashusha watu kange stand pale ,ukifika kange stand uliza daladala za kuja mjini au stand ya zamani ukipanda waambie wakushushe stand ya zamani nauli ni 400 , ukifika apo stand uliza daladala za nguvumali zinapaki wapi panda hizo daladala za nguvumali nauli 400 waambie wakushushe mwembe mawazo apo mwembe mawazo ndipo utapata gari za kwenda sehemu husika Kabisa uliza waambie nataka gari za boma naelekea boma kichakamiba utapelekwa ukipanda gari waambie wakushushe boma kichakamiba ..itakuwa ushafika safari njema kwenu karibuni Sana Tanga
Wanachezea ajira mtu unatoroka nafas ambayo me naitaka kwa udi na uvumba .. Magereza naombeni munipigie mimi tafadhali nitatii kila sheria yenu hata kesho kutwa nitafika kikosini kwenu mkinihitaji ..Vp kuna yeyot mwenye lonja kuhusu ongezeko la watu watu wengin tena kupigiwa simu iuripirt kiwira maana watu wanazid kutoroka na bado hawajatimia jana wamepokonywa simu na vyeti ili kuzuia watu kutoroka
Ni kwel kuna wengin wanachzea nafas kabs...weng wao ni wale baba kanituma kwasabb tu mzaz anacheo bas anaamua kumtengnzea mtot mazingr mazur hali ya kwamb mtot hajapnd kutok moyon nafas wanazib baba kanitum af weny vgzo watot wa wakulima wanabak kitaa kwa kukosa..pia kuna wengn waliotorok mwanzon inasemkn waliwah kufany usail wa TIIS wakiw makambin,,wengn walipat shavu jwtz ko wakalinganisha utamu ulikoWanachezea ajira mtu unatoroka nafas ambayo me naitaka kwa udi na uvumba .. Magereza naombeni munipigie mimi tafadhali nitatii kila sheria yenu hata kesho kutwa nitafika kikosini kwenu mkinihitaji ..
Kinachowatorosha kwahyo ni shavu upande mwingine sio ukali wa mazoezi ?Ni kwel kuna wengin wanachzea nafas kabs...weng wao ni wale baba kanituma kwasabb tu mzaz anacheo bas anaamua kumtengnzea mtot mazingr mazur hali ya kwamb mtot hajapnd kutok moyon nafas wanazib baba kanitum af weny vgzo watot wa wakulima wanabak kitaa kwa kukosa..pia kuna wengn waliotorok mwanzon inasemkn waliwah kufany usail wa TIIS wakiw makambin,,wengn walipat shavu jwtz ko wakalinganisha utamu uliko
Daah hawa jamaa hawajui kitaa kilivyo kigumuWanachezea ajira mtu unatoroka nafas ambayo me naitaka kwa udi na uvumba .. Magereza naombeni munipigie mimi tafadhali nitatii kila sheria yenu hata kesho kutwa nitafika kikosini kwenu mkinihitaji ..
Daah hawa jamaa hawajui kitaa kilivyo kigumu
Sema ipo siku tutaotea tu na sisi inaweza ikawa hayahaya majeshi au isiwe haya majeshi tofauti na hata tunavyofikiria
Hakuna mazoez ya maan kule kusem yanamtorosh mtuKinachowatorosha kwahyo ni shavu upande mwingine sio ukali wa mazoezi ?
Roho inaniuma SanaMpka wa leo hata 600 hawajafika