Tofauti ya Zuhura Yunis na Wakurugenzi wa Mawasiliano ya Rais waliomtangulia

Mbona siku zote walkua hawafanyi kama Sasa. Tukubali Zuhra ameleta mabadiliko na ni muhimu anavyofanya press release pia Kwa lugha ya kingereza Ili dunia ijue misimamo ya Tanzania. Kuna mahali niliona Instagram kwenye page ya ikulu mawasiliano waliandika mpaka kifaransa
Hayo mabadiliko ya lugha ndiyo mwafaka au? Tatizo bado hujajitambua!
 
Daa Zuu!! Amesaidia kunielewesha kumbe Euro Milioni 1 kwa Kiswahili ni sawa na Euro Million 80 kwa Kiingereza. Asante kwa hilo.
 
Huyu mama anapiga PRESS release za Kizungu kwa ajili ya International audience. Hiki kinaweza onekana ni kitu kidogo ila ni kikubwa.

Nadra sana kwa Wasemaji wa taasisi ya Urais walopita kuchapa PRESS RELEASE ya umombo kama hivi.

HONGERA SANA DADA ZU. Wamama mnaweza sana.
View attachment 2116525View attachment 2116526
Akiongea umombo tunaoata sh ngapi?ni ujinga sana kudharau lugha yako tena nyumbani kwako
 
Hatushangilii Kiingereza, tunashangilia ZUHURA YUNUS kuandaa Press Release za Kiingereza jambo ambalo hapo awali halikuwepo. Rudi kasome tena uzi kisha rejea hapa ulete comment sahihi.
Press Release za Emanuel Makron pale France nazo zinatolewa kwa Kingereza na Kifaransa? Au za Misri wanatoa za kiarabu na Kingereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio Mikataba Sita Mingine ni Ipi nadhani hapo wameongelea Michache tu..., Wanasahau wanafunga mikataba hio kwa niaba yetu hivyo ni vema tukaelewa terms and conditions
 
Back
Top Bottom