huyo kuku amekosa vitamin c hvyo kanunue vitamalt uwape alaf tafta dawa yeny antibiotic umpe huku ukiendlea na kumsafisha...ikishindkana kanunue dawa ya macho ya binadam boric acid umuweke kila ukimsafxha....ndvyo nlvyo fany nkafanikiwa....
duh me mwenyewe nxhazoea kutendwa mpka naona nikama fashion....mtu haruhusiwi kukata tamaa hata kidogo ....ukitendwa hapa unaenda kwingne na kwingine.....kwan kutenda na kutendwa mwxho mara ngap.....!? ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.