OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Alijiuzulu kwa kushinikizwa by force si kwa hiari yake kwa ufisadi wa richmond.
Kwenye Richmond Mkulu anajua A to Z
Alijiuzulu kwa kushinikizwa by force si kwa hiari yake kwa ufisadi wa richmond.
Masaburi at work
Acheni upuuzi;Lowassa hatengenezi hayo mabango na wala hauzi lakini kilicho dhahiri ni kuwa wananchi wanamhitaji
Una uhakika hajasema chochote,unataka aseme mara ngapi?.Hiyo miela anayowamwagia watu kamanjugu unadhani ni ukarimu tu,kama kuna mtu anautamani upresidaa hapa nchini si mwingine bali huyo mtu,na akiukosa inaweza ikamsababishia madhala makubwa kisaikologia.
Tatizo akili yako ndogo sana kijana hakuna aliyesema kuwa Lowasa anatengeneza yeye ila anachofanya anagawa hela kwa watengenezaji.Acheni upuuzi;Lowassa hatengenezi hayo mabango na wala hauzi lakini kilicho dhahiri ni kuwa wananchi wanamhitaji
Hivi ni kwanini baadhi ya member wa Jf wanahofu kubwa na ndugu Lowassa? Ilihali mwenyewe hajasema chochote? Watanzania bana inabidi washushiwe Malaika, nadhani hata akishushwa malaika bado kuna watu watahoji ni kwanini ana mabawa mawili badala ya moja! Watanzania porojo sana halafu hamna kitu.
Lowasa anahangaika sana akishindwa uraisi atakufa kwa presha .
dawa ni kuchoma pikipiki zote zinazotumika kifisadi
kumbe unalijua hilo,Na mpinzani wake ni Slaa, Dr himself!Haaa lowasaa ana mpinzanii