Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
Bikini za wanaume zipo saana tu jamani msiwe washamba.... Sema kwa sababu tumezoea kuvua wadada ndo mnashangaa...
Ukipewa m1uijaribishe hio kitu utakubali?Hizo hata zikiwepo mi sivai, we kile kimkanda kinaingia katikati kabisa si mambo ya ufirauni hayo.
Bikini za wanaume zipo saana tu jamani msiwe washamba.... Sema kwa sababu tumezoea kuvua wadada ndo mnashangaa...
Ukipewa m1uijaribishe hio kitu utakubali?
Atakuwa analiwa huyu
Ni shidaah, kwa mtindo huu tukisema mtoto siyo riziki atalalama?!!!
Hizo hata zikiwepo mi sivai, we kile kimkanda kinaingia katikati kabisa si mambo ya ufirauni hayo.
Yawezekana akawa mgonjwa....
kwa hiyo hili vazi huvaa wanaoliwa tu...?vijana wana laana mbichi