uzinzi, uzinzi, uasherati, ngono, +ibada,maombi,kusoma Quran,Bible. Kuhudhuria misa,kwenda kuswali. kisha unajivuna au kuhamasisha watu wafanye zinaa! Yote haya ukiyajumlisha majibu ni ama Unafiki,ushirikina au ukafiri hatima yake ni kupata adhabu. Tujirekebishe,tuombe msamaha kwake Muumba.