Nani wa kunisaidia siku za mateso yangu?

Pole sana kijana.

Ikiwa ulipatwa total paraplegia ni mda mrefu umekuwa hivyo ni dhairi mishipa ya fahamu imekwisha athirika.
Sijui ktk struggle yako hitimisho la wataaalamu wa uti mishipa ya fahamu ilikua ni tatizo lipi?

Nimefurahi unapoanza kuitazama hali yako kwa mtazamo wa nje ya box.

Usife moyo mwenye kumiliki mbingu amekuikia na anaijua hali yako.

Vuta subira mlango utafunguka soon

Maombi yangu Mungu akufadhiri mpendwa.
 
Pole sana kijana.

Ikiwa ulipatwa total paraplegia ni mda mrefu umekuwa hivyo ni dhairi mishipa ya fahamu imekwisha athirika.
Sijui ktk struggle yako hitimisho la wataaalamu wa uti mishipa ya fahamu ilikua ni tatizo lipi?

Nimefurahi unapoanza kuitazama hali yako kwa mtazamo wa nje ya box.

Usife moyo mwenye kumiliki mbingu amekuikia na anaijua hali yako.

Vuta subira mlango utafunguka soon

Maombi yangu Mungu akufadhiri mpendwa.
Asante sana mkuu. Baada ya kufanya kipimo cha MRI mara ya kwanza niliambiwa ni Transverse myelitis lkn baadae nilirudia tena nikaambiwa ni spine thinning (stenosis)
 
hongera kwa kuwa na ujasiri maana ni watu wachache wenye uwezo wa kuanguka na kutafuta pa kuinukia tena

jipe moyo kwa kila upitialo maana hakuna lijalo likakosa pa kutokea, ninaelewa unavyojihisi kwa kuwa ninajua ni nini maana ya maisha unayoyapitia ......

cha kukushauri ni kutafuta vituo vya watu wenye ulemavu ambapo unaweza kupata maarifa na ujuzi wa kufanyia kazi viungo vilivyosalia katika kujipatia kipato (sivikumbuki kwa majina na kwa hilo utaniwia radhi)

kama akili na mikono inafanya kazi bhasi naamini utaweza, Mungu akusimamie kaka
 
Umepooza lkn unamiliki smart phone, unatamani kuendesha bjaji.
 
Pole kijana,penye wengi pana mengi! Vumilia tu! Utapata maoni yenye maslahi inshaa Allah. MI nnafanya shughuli ya tiba!Nikuulize "Umewahi kutumia dawa za kujifukiza na kuchua?
Asante mkuu,Nimetumia za kuchua ila hizo za kuvukiza bado
 
Mungu yupo kaka, Bwana wa majeshi Mungu wa Israel akupe nguvu, na pia akufungulie milango ya mafanikio. Amen
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom