Natamani mpenzi wangu achepuke,a 'experience the difference'

Natamani mpenzi wangu achepuke,a 'experience the difference'

Niko kwenye mahusiano na binti mmoja kati ya wengi nilionao.

Kiukweli natamani huyu binti achepuke kwa mwanaume mwingine, huyu binti niko nae kwenye mahusiano zaidi ya mwaka mmoja sasa. Natamani achepuke labda huko atapata mwanaume atakaemfaa katika maisha yake.

Huyu binti ni mwema sana kwangu kiasi kwamba wema wake unageuka kua kero kwangu, mimi ndie mwanaume wake wa kwanza, nina uhakika hajawahi kutoka na mwanamume mwingine kabla yangu na baada yangu.

Nikiri kua nilitumia muda mwingi na gharama nyingi kumshawishi huyu binti kua mimi ndie mwanaume sahihi aliekua amemtunzia mwili wake hadi akakubali kuniruhusu kuchana nyavu.

Natamani achepuke maana huko aanaweza kupata mwanaume mwingine mwema kwake,kwa kweli hutu binti hastahili kua na mimi, ni mwema kiasi kwamba hadi namuonea huruma,anaomba radhi kwa makosa ambayo hakufanya au ni.efanya mimi.

Nashindwa huyu binti namuachaje ili aende huko apate mtu anaestahili, namuonea huruma kwamba ameangukia sehemu isiyo salama, nina uhakika kuna watu wengine huko wanaostahili penzi na wema wa huyu binti mimi sistahili.
IMG-20170113-WA0082.jpg
 
Unakosea sana..haimanishi bikra wote ni wake bora, hata wew ulikuwaga bikra lakini kwasasa unajijua ulivyo
Watu wengi hudhani bikra ndio kigezo cha mwanamke bora, umemueleza vizuri sana kwamba hata yeye alikua bikra na sasa ananijua alivyo.
 
Iv ushawah sikia laana ya mpz wew?????naona unaitafuta na utaipata muda cyo mrf
 
Hivi wale wanaoishi kule milembe wanatorokaje jamani, maana nikama idadi inaongezeka watu wanaostahili kuwepo milembe wapo huku mtaani…!
 
Watu wanatafuta mabinti wa hivyo,,kwa hiyo we unataka gumegume au??
 
Utakua humpendi kabisa huyo dada,hebu jaribu kupata picha ingekuwa unampenda kwa dhati ungeumia kwaajili uaminifu wake?sidhani.
 
Mkuu sikushanga coz ni jambo ambalo nimeshalishuhudia kwa watu kadhaa.. Unakuta kijana ako na bint mzuri kaumbika, katulia , lakin mwanaume hataki hata kumuona,, alafu unakuta kadatishwa na kademu cha cha ajabu kinoma sema Kijanja. Kinajua kutupia nn. Hapo kijana kafika..

Wakati mwingine nafikiri hata ushamba wa binti unachangia jambo kama hilo kutokea ila akishajifanya ametulizana Atakua wakuambulia maumivu kila siku..
 
Niko kwenye mahusiano na binti mmoja kati ya wengi nilionao.

Kiukweli natamani huyu binti achepuke kwa mwanaume mwingine, huyu binti niko nae kwenye mahusiano zaidi ya mwaka mmoja sasa. Natamani achepuke labda huko atapata mwanaume atakaemfaa katika maisha yake.

Huyu binti ni mwema sana kwangu kiasi kwamba wema wake unageuka kua kero kwangu, mimi ndie mwanaume wake wa kwanza, nina uhakika hajawahi kutoka na mwanamume mwingine kabla yangu na baada yangu.

Nikiri kua nilitumia muda mwingi na gharama nyingi kumshawishi huyu binti kua mimi ndie mwanaume sahihi aliekua amemtunzia mwili wake hadi akakubali kuniruhusu kuchana nyavu.

Natamani achepuke maana huko aanaweza kupata mwanaume mwingine mwema kwake,kwa kweli hutu binti hastahili kua na mimi, ni mwema kiasi kwamba hadi namuonea huruma,anaomba radhi kwa makosa ambayo hakufanya au ni.efanya mimi.

Nashindwa huyu binti namuachaje ili aende huko apate mtu anaestahili, namuonea huruma kwamba ameangukia sehemu isiyo salama, nina uhakika kuna watu wengine huko wanaostahili penzi na wema wa huyu binti mimi sistahili.

Nipe namba yake nimsaidie uchepuka
 
Natamani achepuke maana huko aanaweza kupata mwanaume mwingine mwema kwake,kwa kweli hutu binti hastahili kua na mimi, ni mwema kiasi kwamba hadi namuonea huruma,anaomba radhi kwa makosa ambayo hakufanya au ni.efanya mimi.

Nashindwa huyu binti namuachaje ili aende huko apate mtu anaestahili, namuonea huruma kwamba ameangukia sehemu isiyo salama, nina uhakika kuna watu wengine huko wanaostahili penzi na wema wa huyu binti mimi sistahili.

Mwambie akuache

Mkataa pema pabaya panamwita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom