Recent content by Hu Jintao

  1. Hu Jintao

    Wamarekani wajitokeza kuandamana dhidi ya wanaoandamana kuunga mikono magaidi wa HAMAS

    Nimekuuliza maana ya ugaidi umenipa Hamas covenant ya 1988.. Nauliza tena ugaidi ni nini
  2. Hu Jintao

    Hivi kuna ngoma kali kuishinda Loi ya Koffi Olomide?

    Sikiliza chuma hiki .... Sala ya extra
  3. Hu Jintao

    Sitasahau siku pombe zilitaka kunitoa roho

    Sitasahau pombe iliponikutanisha na walinzi wa museveni baada ya kusahau njia na kuelekea ikulu ya rais Entebbe Uganda.....
  4. Hu Jintao

    Lipi jema kwa Mswahili / Mwafrika kati ya Kuchagua Kuishi maisha ya Kujitenga nao waseme Unaringa au Kujichanganya nao Wakuzoee na waanze Kukudharau?

    Hayo ni mawazo Yao na misingi Yao na standard zao. Na Mimi nina mawazo yangu, system zangu, mishe zangu, mipango yangu, philosophy zangu, maisha yangu na furaha zangu. Kwanini niishi wao?
  5. Hu Jintao

    Lipi jema kwa Mswahili / Mwafrika kati ya Kuchagua Kuishi maisha ya Kujitenga nao waseme Unaringa au Kujichanganya nao Wakuzoee na waanze Kukudharau?

    Kujitenga ni Bora sana brother.... Na hiyo tabia wengi wanaipenda lakini tayari wapo connected na bullshits mbalimbali....
  6. Hu Jintao

    Kwanini Israel inapewa msaada wa kijeshi/ silaha na Marekani?

    Hakuna inchi inaitwa Israel, hiyo Israel unaoijua wewe ni kundi la majambazi wakimarekani na Uingereza ambao waliletwa hapo Kwa madhumuni ya kulifanya eneo la mashariki ya kati lisitulie lengo likiwa kuzivuruga nchi zenye nguvu kama Iran, Saudia, Syria na Egypt zisipae kiuchumi na kuleta...
  7. Hu Jintao

    Content ya media nyingi sio kwa ajili ya kuelimisha , uchambuzi wa mpira umetamalaki. Kama jamii tunapaswa kubadilika. TCRA na Wizara ya Habari mpo wa

    Hiyo ni Social engineering, hayo mambo hayatokeitokei tu brother. Fungua macho angalia mbele..
  8. Hu Jintao

    Wakuu msaada kwenye tuta: PC yangu inanyonya sana MB nini tatizo ?

    Bila Shaka unatumia windows 10 au 11 hizi Zina mtindo wa kuji update. Weka windows 8 na unapo install Zima automatic updates
  9. Hu Jintao

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Ishia hapohapo 💥💥💥 Hawa watoto wakishiba kashata na mihogo wanakuja na story zakulijua Jeshi sana....
  10. Hu Jintao

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Kuna Codes zimejificha kwenye lile onyesho . .
  11. Hu Jintao

    SIKU HII NDIO NILISHUHUDIA, NILIAMINI NA KUTHIBITISHA KWAMBA MAPENZI HAYANA WALA HAYAJALI UMRI

    Tofautisha kati ya utoto na mtoto/watoto. Ndio maana narudia acha utoto
  12. Hu Jintao

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Hao ni makomando ambao wapo kwenye mission mashariki ya Congo kwenye misitu ya Beni au ituri huko.... Haya maonyesho yana ujumbe wake kulingana na mgeni au wageni rasmi au mwenendo wa Geopolitical wa eneo husika. Kipindi Cha JK maonyesho yalitawala sana uwezo wa vifaa vya kivita. Tena vifaa...
Back
Top Bottom