Hayo ni mawazo Yao na misingi Yao na standard zao. Na Mimi nina mawazo yangu, system zangu, mishe zangu, mipango yangu, philosophy zangu, maisha yangu na furaha zangu. Kwanini niishi wao?
Hakuna inchi inaitwa Israel, hiyo Israel unaoijua wewe ni kundi la majambazi wakimarekani na Uingereza ambao waliletwa hapo Kwa madhumuni ya kulifanya eneo la mashariki ya kati lisitulie lengo likiwa kuzivuruga nchi zenye nguvu kama Iran, Saudia, Syria na Egypt zisipae kiuchumi na kuleta...
Hao ni makomando ambao wapo kwenye mission mashariki ya Congo kwenye misitu ya Beni au ituri huko.... Haya maonyesho yana ujumbe wake kulingana na mgeni au wageni rasmi au mwenendo wa Geopolitical wa eneo husika.
Kipindi Cha JK maonyesho yalitawala sana uwezo wa vifaa vya kivita. Tena vifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.