Hakuna falsafa yoyote hapo.... Kwahiyo wazazi wake walikosea kumleta duniani... Hakuna falsafa Wala psychology inayoelezea kwamba dunia ni sehemu salama au dunia imewahi kuongozwa na watu wema. Kuanzia Sumeria ,Egypt, Roma, Byzantine, Babylon, Inca, Maya na Leo America hizi zote ni age za undava...
Tatizo ni emotions za mvutaji. bange haiongezi kitu kwenye ubongo wako Bali bange Ina amplify emotions za mvutaji hapo ndio kuna mtego.. kama mvutaji ni aggressive basi akivuta hiyo aggressiveness Ina amplify mala 1000 kama mvutaji anapenda kusoma vitabu akivuta hiyo tabia Ina amplify pia. Ndio...
Nakumbuka miaka hiyo ya 2000 mwanzoni.
Nilikuwa na mchumba nikiwa secondary wa kuitwa Felista Mapunda, mrembo wa kishua huku Mimi nikiwa digidigi tu wa mtaa. Nakumbuka siku Moja aliniletea kadi ya Christmas ukifungua ilikuwa inapiga ringtone tamu sana. Siku Moja Maza akaingia ghetto akaikuta Ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.