Chimbo la manga na tshirt napotokeaga mm ni opposite na mlango wa kuingia shimon ukiwa ple ukiuliza kwa waburushi wa plain tshirt wap watakuonesha tu.. cz wako kwa ndan ndan iv sio nje tu.. so sio rahisi kukuelekeza sana lkn fanya ivo.
mkuu vp kwa mtoto anaesumbuliwa na utokaji wa uchafu masikion.. ametumia dawa nying za asil lkn wap bdo linatoa uchafu huwa linasimama kwa siku kadhaa lkn saiv bdo linaendelea ttzo itakuwa nn mkuu pia huwa analalamika linamuwasha kwa ndan
dawa ya moto ni moto tu.. moja wa washikaj kitambo kidogo alikuwa anahudumia mpenz wake ambae ni ke walikuwa wanapendana sana hasa ukizingatia jamaa alikuwa vizur kipesa lkn baadae akaja akayumba kiuchumi ple ofcn akatimuliwa, yule ke wake akaanza dharau na akaanza kutoka na mshikaji mwingn...
Wadau kwema,
Kuna hili suala la wenzetu wa dini ya pili kwa maana Christians(wakristo) kuhusiana na nyimbo zao za kuabudu au kusifu kupigwa katika majumba ya statehe yenye kila aina ya uchafu mfano, jaribu kupita katika vilabu vya pombe vya mtaani(uswazi) utakutana nalo hili sana au ushakutana...
hatar sana mzee unanikumbusha mbal kidogo mi nishatia hao mama wenye nyumba hasa wa hilo jiji enz za maisha ya chuo chuo nilikuwa nakaa tmk nasoma mitaa karibun na jesh.. najua mshapajua.. kuna mmoja alikuwa ananizimia mwenyewe tu kwanza kila nililokuwa no ngea kwake yeye ni yes.. halal usiku...
mkuu nmekaa ple km 2weeks kilombero sijaona ubaya wake na nilichogundua kuna ela sana ukiacha morogoro mjin sehemu inayoingiza hela sana ya mapato ni ple kupitia biashara mzunguko wa hela uko juu sana..pia unaposem bila viwanda kungefanana vp.. viwanda ndo kila kitu huoni sasa hpo moro mjin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.