Hebu Jaribuni kuwa waungwana. Kwani hata kama hajaona kwa ajili ya mama yake ndio aone mama yake anatukanwa afurahie? Mnachokifanya ni kujaribu kuinusuru ndoa ya mwenzenu sio kitu kibaya ni sawa kabisa ingawaje hajaomba ushauri isipokuwa ameuliza sheria inasemaje katika hilo la kumuacha mke kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.