Wabomoa kaburi na kumwibia marehemu nguo

Wabomoa kaburi na kumwibia marehemu nguo

walivyo mzika na mabegi na vito walitegemea nini na kwa nini wamemzika na mabegi au huko aendako akabadili nguo au akafanye biashara mambo mengine hayahitaji akili za kuambiwa kabisa yaani

marehemu ndiye alisema akifa azikwe na vitu vyake vyote
 
Hao wezi wanastahili kupongezwa
ni ujinga mno kumzika mtu na vitu vya thamani..
ujinga kabisa

na iwe fundisho kwa wengine walio na wivu usio na tija kama wa huyu marehemu bora angesema wapelekewe wasiojiweza na yatima
 
Kwel mtu katoka kwa baba akiwa uchii Mali na bahari ni za dunia inakuwaje mtu ANAzikwa na vitu vya thamani kama sio upungufu wa lishe ubongoo
 
masela hawana utani kabisa yaani washinde maskani hawana hela ya kuvuta wakati kuna boya amefukiwa na mabegi ya hela si ujinga huo fukua yeye

#Zitto
 
Ni makaburi yaliyo nyuma ya Tamco Kibaha nilivyosimuliwa majuzi nikitokea Vikawe Marehemu pia alizikwa na kiasi kikubwa cha pesa na simu zake za gharama 3,na huenda hiyo ndio ilichangia sana kuwavuta wahalifu ingawa ndg hawasemi kua alizikwa na pesa kuepuka mkono wa sheria lkn kwa mujibu wa mkazi wa maeneo hayo alivyotusimulia marehemu pia alivuliwa suti alovishwa yaani jamaa walimuacha na boxer na sanda tu!dunia hii
 
Ni makaburi yaliyo nyuma ya Tamco Kibaha nilivyosimuliwa majuzi nikitokea Vikawe Marehemu pia alizikwa na kiasi kikubwa cha pesa na simu zake za gharama 3,na huenda hiyo ndio ilichangia sana kuwavuta wahalifu ingawa ndg hawasemi kua alizikwa na pesa kuepuka mkono wa sheria lkn kwa mujibu wa mkazi wa maeneo hayo alivyotusimulia marehemu pia alivuliwa suti alovishwa yaani jamaa walimuacha na boxer na sanda tu!dunia hii

Alizikwa na million 8 inasemekana,na Vito vya dhahabu na furush lake la nguo,ndio alivyotaka kabla hajavuta
 
usia wa marehemu nizikwe na mabwana zangu..hapo panakuwa hapatoshi
 
Hapo wosia ndiyo chanzo watuhumiwa wamefikilia mali alizozikwa nazo. Mungu uturehemu
 
Back
Top Bottom