Mwadunda
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,027
- 1,712
Ndoa ni zaidi ya boyfriend na girlfriend, ukiwa kwenye ndoa hata mata.ko ya wife yako yalingane na tembo wewe ipo siku unawezayaona kama ni ya kasungura
Nmechekaaa saaaaaaanaaaaa
Ndoa ni zaidi ya boyfriend na girlfriend, ukiwa kwenye ndoa hata mata.ko ya wife yako yalingane na tembo wewe ipo siku unawezayaona kama ni ya kasungura
Ww futa kauli yako don't be so sure utaja pewa surprise ukachanganyikiwa.Naona ma-infi wanapeana tekniks!Mi hayanihusu hanichit simchit
Umesema kweli mkuu ila duh hapa utaipata! yaani unatangaza kwenye kadamnasi unavyofisadi ndoa za wenzio?!
Kama mkeo ana guts za kutoka nje nawewe mumewe ukajua kabisa kua
anafanya hivo na ukamezea... Kuna kitu gani cha kukuheshimia hapo??
Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tu
Inashangaza sana, wanaume tukitoka nje ya ndoa huwa tunarudi na nidhamu tu na zawadi kedekede nyumbani na malavidavi ya kutosha kwa mama watoto. Lakini wao wakitiwa nje basi nyodo mtindo mmoja ndani, kwanini lakini???
Inashangaza sana, wanaume tukitoka nje ya ndoa huwa tunarudi na nidhamu tu na zawadi kedekede nyumbani na malavidavi ya kutosha kwa mama watoto.
Ww futa kauli yako don't be so sure utaja pewa surprise ukachanganyikiwa.
Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tu
mmmmmhh! ngoja nikanywe uji wa ulezi na ukwaju kwanza
Angalia usije na wewe ukagongwa!Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tu