Habari zenu wakuu
Nahitaji kabati la kuuzia chips, liwe kubwa kiasi na sio kidogo litakaloweza kubeba, chips, kuku, mishikaki na kachumbali na vinginevyo
Liwe na sehemu mbili i meab juu na chini lisiwe used kupita kiasi hadi kupoteza mvuto.
Kama unalo njoo pm
Picha muhimu sana na vipimo...