Hivi ni kweli ukiwa unafanya kazi private huwezi kujiunga na government?

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Wakuu mimi nafanya kazi kwenye shirika binafsi ila natamani ajira za serikali zikitoka nijiunge na serikali ila kuna mtumishi mmoja wa serikali kanitia hofu amesema ukishaingizwa kwenye system ya payroll ya private sector serikali haiwezi kukuajiri hata kama utaamua kutoka huko private. Naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
 
kwa maendeleo ya sasa ya sayansi mifumo ya ajira imeunganishwa ndani ya serikali hivyo ile ya kizamani kuwa ukiingia idara hii,unapata cheki namba mpya ukiacha kazi na kuomba wizara ile unatambuliwa upya na kupewa cheki namba mpay haiko,ni kwamba ukiingia serikalini ukija kutoka kurudi mara ya pili ni mtihani,yaani hazina wakikuondoa kukurudisha si mchezo.unless fani yako iwe adimu
pia kuajiliwa serikali inapaswa usiwe na miaka zaidi ya 45(kikomo), kwa mfumo wa recruitment for parmanent and pensionable staff.
pia ukiingia mapema ukitoka haupati mafao mpaka ufike 55 au 60yrs
nakaribisha masahihisho
 
kwa maendeleo ya sasa ya sayansi mifumo ya ajira imeunganishwa ndani ya serikali hivyo ile ya kizamani kuwa ukiingia idara hii,unapata cheki namba mpya ukiacha kazi na kuomba wizara ile unatambuliwa upya na kupewa cheki namba mpay haiko,ni kwamba ukiingia serikalini ukija kutoka kurudi mara ya pili ni mtihani,yaani hazina wakikuondoa kukurudisha si mchezo.unless fani yako iwe adimu
pia kuajiliwa serikali inapaswa usiwe na miaka zaidi ya 45(kikomo), kwa mfumo wa recruitment for parmanent and pensionable staff.
pia ukiingia mapema ukitoka haupati mafao mpaka ufike 55 au 60yrs
nakaribisha masahihisho
Umejitahidi!
 
pia jiandae kuwa mtiifu kwa mujibu wa sheria,taratibu,miongozo,kanuni na destruri za fani husika ukiende oposite utatumbuliwa hata km uko sahihi,namaanisha kuanzia chain of command nk
 
Wakuu mimi nafanya kazi kwenye shirika binafsi ila natamani ajira za serikali zikitoka nijiunge na serikali ila kuna mtumishi mmoja wa serikali kanitia hofu amesema ukishaingizwa kwenye system ya payroll ya private sector serikali haiwezi kukuajiri hata kama utaamua kutoka huko private. Naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Uyo aliekwambia haelewi chochote labda hapendi uingie serikalini. Kiukweli hakuna sheria kama hiyo na haitakuepo.
 
kwa maendeleo ya sasa ya sayansi mifumo ya ajira imeunganishwa ndani ya serikali hivyo ile ya kizamani kuwa ukiingia idara hii,unapata cheki namba mpya ukiacha kazi na kuomba wizara ile unatambuliwa upya na kupewa cheki namba mpay haiko,ni kwamba ukiingia serikalini ukija kutoka kurudi mara ya pili ni mtihani,yaani hazina wakikuondoa kukurudisha si mchezo.unless fani yako iwe adimu
pia kuajiliwa serikali inapaswa usiwe na miaka zaidi ya 45(kikomo), kwa mfumo wa recruitment for parmanent and pensionable staff.
pia ukiingia mapema ukitoka haupati mafao mpaka ufike 55 au 60yrs
nakaribisha masahihisho

Kama kwenye mtihani tunasema umejitungia swali, umeeleza vizuri.

Ila hukumwelewa muuliza swali.
 
kwa maendeleo ya sasa ya sayansi mifumo ya ajira imeunganishwa ndani ya serikali hivyo ile ya kizamani kuwa ukiingia idara hii,unapata cheki namba mpya ukiacha kazi na kuomba wizara ile unatambuliwa upya na kupewa cheki namba mpay haiko,ni kwamba ukiingia serikalini ukija kutoka kurudi mara ya pili ni mtihani,yaani hazina wakikuondoa kukurudisha si mchezo.unless fani yako iwe adimu
pia kuajiliwa serikali inapaswa usiwe na miaka zaidi ya 45(kikomo), kwa mfumo wa recruitment for parmanent and pensionable staff.
pia ukiingia mapema ukitoka haupati mafao mpaka ufike 55 au 60yrs
nakaribisha masahihisho
Mbona kama umejibu opposite mkuu, rudia alichouliza mtoa mada
 
hili jambo muhimu sana kujua..wakuu wenye kujua jambo hili tuna waomba mtupe maelezo zaidi..shukran
 
kwa maendeleo ya sasa ya sayansi mifumo ya ajira imeunganishwa ndani ya serikali hivyo ile ya kizamani kuwa ukiingia idara hii,unapata cheki namba mpya ukiacha kazi na kuomba wizara ile unatambuliwa upya na kupewa cheki namba mpay haiko,ni kwamba ukiingia serikalini ukija kutoka kurudi mara ya pili ni mtihani,yaani hazina wakikuondoa kukurudisha si mchezo.unless fani yako iwe adimu
pia kuajiliwa serikali inapaswa usiwe na miaka zaidi ya 45(kikomo), kwa mfumo wa recruitment for parmanent and pensionable staff.
pia ukiingia mapema ukitoka haupati mafao mpaka ufike 55 au 60yrs
nakaribisha masahihisho
Ndugu nimeuliza kutoka private sector kwenda government sio government to government
 
kuajiriwa toka private kwenda gvt UNARUHUSIWA KWA MTU YEYOTE ILA kuna mambo ya lazima hazina wataangalia,hasa ukiondoa elimu wanaangalia umri USIVUKE 45,MAHITAJI MENGINE YA KADA HUSIKA MFANO FITNESS YA MTU KWA FANI ZINAZOHITAJI UWE FITI.NJE YA HAPO HAKUNA KIPINGAMIZI
Kama kwenye mtihani tunasema umejitungia swali, umeeleza vizuri.

Ila hukumwelewa muuliza swali.
 
Nenda kaajiriwe hakuna kipinganizI. Ila ni ulemavu au kukosa maono, labda uwe na tatizo.
Kubadilisha Waajiri hakusaidii nafuu ya maisha.
 
kuajiriwa toka private kwenda gvt UNARUHUSIWA KWA MTU YEYOTE ILA kuna mambo ya lazima hazina wataangalia,hasa ukiondoa elimu wanaangalia umri USIVUKE 45,MAHITAJI MENGINE YA KADA HUSIKA MFANO FITNESS YA MTU KWA FANI ZINAZOHITAJI UWE FITI.NJE YA HAPO HAKUNA KIPINGAMIZI

Ilitakiwa umjibu hivi muuliza swali.

Sasa post yako ya kwanza naona umetoa maelezo mengi ambayo hayajibu swali la muulizaji.
 
Wakuu naomba msaada wenu. kuna mdogo wa wangu kike ni muajiriwa wa serikali anafundisha chuo ,alienda masomoni na alipoondoka kazini kwake alijaza bond ya kua atarudi kazini na kufanya kazi miaka 5. sasa amemaliza masomo na tarehe ya kuripoti kazini imekaribia ila kutokana na familia (mume na watoto) kuhamia mkoa mwengine inabidi hawezi kufanya kazi hapo. swali langu ni kuwa, je sheria inamruhusu kuomba uhamisho japo amejaza bond?na je sheria inasemaje aripoti kazini baadae ndio aombe uhamisho? au aombe uhamisho kabla hajaripoti? na je anatakiwa aombe uhamisho kazini kwake au barua itoke hapo anapo kwenda kufanya kazi ili iende kazini kwake?
 
kuajiriwa toka private kwenda gvt UNARUHUSIWA KWA MTU YEYOTE ILA kuna mambo ya lazima hazina wataangalia,hasa ukiondoa elimu wanaangalia umri USIVUKE 45,MAHITAJI MENGINE YA KADA HUSIKA MFANO FITNESS YA MTU KWA FANI ZINAZOHITAJI UWE FITI.NJE YA HAPO HAKUNA KIPINGAMIZI
...Hakuna condition yoyote inayozingatia kwamba umetoka private, muhimu ni sifa husika na kufanya vizuri kwenye interview basi, tena kuna profession ambazo mtu aliyetoka private anakuwa more competent mfano monitoring and evaluation..
 
Back
Top Bottom