Ww kaka tulia wala usimuulize endelea kama kawaida akimaliza vijembe akiona anauwezo wakukuuliza na mnaweza kuyaogea atafanya hivyoo. Maana hiyo si njia ya kutatua tatizo. Ujinga na kukosa uwanamke
Jamaani kweli wasichana tubadilike tusifanye wanaume kama kitega uchumi cozy ukiwa hivyo maendeleo huyaoni. Embu vuta picha kunakuachwa kwa hiyo ww hutosubiria kujiagalia y nimeachana na huyu mtu au ulikuwa na mapungufu ngani ili ukipata mahusiano mengine usiyaharibu. Utafanya haraka kumtafuta...
Sikatai hao wapo tena wapo wanaosema naolewa ni toe nuski. Ujue ndoa inakuwa tamu ukijielewa kuwa ww mwanamke nimsingi wa family pia ndio ua linaloleta upendo kuolewa sio fashion maana raha ya ndoa mwanamke udumu pia mwanamke ukiolewa umesitirika ukatae ukubali unakuwa na heshima yake.@housegirl
Ujue kila mtu anamlalamikia mwenzake kuwa ni mbaya naamaanisha kati ya wanawake na mwanaume cha msingi kama ulikuwa kipofu kwenye lile penzi sasa jifunze endelea na maisha tafuta mwingine utapata aliye mwema kaka ukisema unaimani nisawa sawa huko kwenye biashara uliyotarajia utapata hela ikakata...
Ujue kuobwa namba jambo la kawaida msikilize mtu anayosema alafu kama unaona humuelewi unamueleza anakuelewa unakuwa marafiki tu utakuta huyo huyo mtu oneday utakuja kumtumia kwenye shida yako usibague pia kwaajili amechoka ujue kila mtu anahumuhimu siku moja atakuja saidia na uchovu wake
Kama umependa na unapenda kumpost ww mpost weka status ila unakuja kujisikia vibaya pale mnapo achana lazima utaitoa na wale walio makini utaazwa kuuliza Ndio utapoona ukaraha wakupost .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.