Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Ila mimi nimekuja kugundua kuwa wanawake wote wanapenda show off. Hii nime-conclude kutoka kwenye sample niliokwisha-interact nao. Wale waliojishow off ni kwamba hawana cha kujishow off au hawajapata kitu out-standing cha kujishow off.

Mwanzoni nilikuwa sijawaelewa vizuri nikawa najaribu kuwashauri kwa nia ya kuwazuia tabia kama hizo, lakini nikawa sifanikiwi kwa kiasi kikubwa. Sana sana walipogundua niko against na tabia hizo, wakawa sasa wanajaribu kunificha na mimi. Ndo baadae nikaja kugundua kumbe almost wote wana tabia za show off. Ofcourse wanaweza kutofautiana aina ya show off na extent ya kujishow off (I mean coverage, media etc), lakini wote wana some sort of show off na wote wanapenda kushow off, ni vile tu unakuta wengi hawana kitu ambacho ni appealing.

Ndo kukundua kumbe I was trying to suppress nature!! kitu ambacho ni kigumu sana. What i do nowdays I try to manage nature, yaani na-control extent ya show off baasi. Lakini kusema eti ataacha kabisa show off aaaah wapi bana!! awe tu hana kitu outstanding cha kushow off labda.

cc @brenda18 @housegirl @missyrose @miss chagga

Hivi @atoto uko wapi lakini, miss u much my sister!! you are not at home, you are not at work, you are not at church ,where are you now? have you moved back to @Kaboom ? or you ar with ur shemdarling @sumbai and ur young sis @cute b

Kama alivyosema @brenda18 na @NANDERA, unaweza kuwa showing off kwako tu, na si tabia ya wanawake tu.... Mimi I don't mind posts za vitu vizuri vizuri, umasikini sio sifa.....
Nasemea wadada wanaojua relationships zao sio ya kudumu.....tena wanajua jamii yetu hii ya mfumo dume..... Halafu baadae ndo anaanza kujisitiri , sijui kuokoka.......nimesuggest njia za kuAvoid kuwa judged na watu...... Kama hajali watu watasemaje then good...
 
Last edited:
Umeona eeh!! sasa mbona @housegirl na kina @Heaven Sent wanataka kuwabanabana hapa!! waambieni wawache bana ahaaaaa!!

Ah....data zangu nataka niwe nazo peke yangu.... Kuna watu wakianza kukuongelea wanataja hadi watu ambao wewe mwenyewe mhusika umewasahau.... I want my privacy....
 
Sikatai hao wapo tena wapo wanaosema naolewa ni toe nuski. Ujue ndoa inakuwa tamu ukijielewa kuwa ww mwanamke nimsingi wa family pia ndio ua linaloleta upendo kuolewa sio fashion maana raha ya ndoa mwanamke udumu pia mwanamke ukiolewa umesitirika ukatae ukubali unakuwa na heshima yake.@housegirl
 
Hahaha huwa nacheka honestly nikiona neno "mwanaume wa maana", sijui kwa nini eti. Yeah kuna watu wana privacy sana. Hivi Vitu ni kama tabia tu sometimes, kuna mtu akinunua hata chupi, atatamani amuonyeshe kila mtu basi tu haiwezekani
Umenikumbusha nilivyoanza maisha ya hostel chuo... Wao kila kitu watakachonunua wanaonyeshana..... I had a hard time hadi kuzoea aisee.... Hata ukinunua chupi mpya ukaianika wanalike na kucomment ....mbona me vya kwenu si notice!!!
 
.

Wengine hawatak wakiofia relation zetu hz hazina uhakika wa kudumu
Binafsi nilikua nagombana sana na gf wangu aliyepita ambaye hakuwa msiri kwenye personal life. Kwenye instagram yake zilijaa sura picha zangu mi sikupenda ila yeye aliniona mimi ni kama old fashioned. Kila mara nilimsihi kutojiexpose kwa watu maisha binafsi lakini hakuona kama nilikua namweleza jambo la maana.

Alifikia hatua ya kutaka kuniblock kisa nambania uhuru.

Tulipoachana akadelete picha zangu zote. Alipopata bwana mwingine mchezo ulikua uleule kama ilivyokua kwangu. Bahati mbaya huyu bwana mpya hawakuchukua muda mrefu wakaachana pia, picha zote kafuta instagram.

.
This is what I was talking about......

Lakini yeye kama haimsumbui basi......
 
Sikatai hao wapo tena wapo wanaosema naolewa ni toe nuski. Ujue ndoa inakuwa tamu ukijielewa kuwa ww mwanamke nimsingi wa family pia ndio ua linaloleta upendo kuolewa sio fashion maana raha ya ndoa mwanamke udumu pia mwanamke ukiolewa umesitirika ukatae ukubali unakuwa na heshima yake.@housegirl

Hii mada ya siku nyingine..... Sikubaliani tu na hiyo kusitirika na heshima
 
Naona hapa umeongelea zaidi maisha ya Insta,utakubali tu hata wanaume wanafanya hivyo pia...
Hata hivyo hio app is for sharing your daily pics for memo,sioni tatizo hapo...tatizo lipo kwa huyo ex wako kuweka pics za kila mwanaume anaedate nae,sasa huo ni utoto ipo siku atakua ataacha
Hakuna shida mtu akipost pic yupo airport,au kwa bajaji au lunch sehem flani ndio maana halisi ya instagram if am not mistaken,tatizo ni mtu kutuonyesha fake life like akaazime gari lisilo la kwake au Nguo ili tu apost na ye tuone ni wa status flani hizo ndio show off za kitoto
If your gf alikuwa anapost pic zake za ukweli hakuna tatizo hapo japo kupost familia pia sijamwelewa
Hata mimi Sina shida na posts za daily life za mtu.......nina shida na kuonyesha jamii hii kandamizi kila ninayetoka naye
 
Kabisa though sifanyi ila siwashangai wafanyao hayo maana kila mtu anachagua namna ya kuishi na anavyoona inamfaa yeye, sasa kama afanyacho mwingine kinakukera basi fanya vikufurahishavyo wewe, huwezi furahisha kila mtu. Itakuwa vyema kila mtu akifanya yake, haya ya kufuatiliana taabu tupuu.

Mwenzako anafanya yake kivyakeee kumbe huku wewe unafurukutwa, shida yote yanini? Wawaache watu na maisha yao bwana.
Mada imegeuka kuogelea show off....

Yes kila mtu ana uhuru.... Me nilikuwa nawasaidia wadada wanaoonekana vibaya kwenye jamii.... Kama hawajali basi sawa....
Manake Kuna watu, kama umesahau kitu fulani kuhusu maisha yako unaweza kuwauliza watakukumbusha, utafkiri Wikipedia!
 
ukweli tena kuna mama mtu wa makamo anasimuliaga hata jinsi anavyowapanga mabuzi mpaka style anazopigwaga sa hio ni haki kutoa siri zako?
Kumbe unashindaga saluni za kike eeeh
 
Umenikumbusha nilivyoanza maisha ya hostel chuo... Wao kila kitu watakachonunua wanaonyeshana..... I had a hard time hadi kuzoea aisee.... Hata ukinunua chupi mpya ukaianika wanalike na kucomment ....mbona me vya kwenu si notice!!!
Unasumbuka tu ile mwanzoni wakati bado hujawazoea. Ukishawazoea unaona tu kawaida, unafanya yako. Ndo maisha/ furaha waliyojichagulia, so unawaacha tu maisha yao.
 
Last edited:
Mada imegeuka kuogelea show off....

Yes kila mtu ana uhuru.... Me nilikuwa nawasaidia wadada wanaoonekana vibaya kwenye jamii.... Kama hawajali basi sawa....
Manake Kuna watu, kama umesahau kitu fulani kuhusu maisha yako unaweza kuwauliza watakukumbusha, utafkiri Wikipedia!

Na mie nilichangia kwa upande huo wa show off ila kwa mrengo wa mada yako nilikupata vizuri sana tu.
Ila mtu anamuona mwingine anafanya show off kwakuwa yeye hana cha kuonyesha, na kuna watu wako busy kufuatilia fulani kaweka nini ndio wanapata shida sasa.
 
Basi kwa maana hiyo mtoa mada aache watu waishi watakavyo. Hamna siri ndio maana mnamegwa, mnaachwa, na hata mkiolewa ndio zinajaa visa na kuonewa. Mtaitwa sana malaya kwa style hiyo. Nyie wenyewe hamfanyi halafu mnashauri wenzenu waendelee tu lol!

Halafu we @atoto mbaya


Usikariri maisha ndugu, kwahiyo kila anayemegwa na kuachwa ni kwasababu hawana siri??
Alafu km umefuatilia mada niliyoquote ungegundua kuwa niliongelea nini!! Kupost picha ni interest km ilivyo kupenda mpira tu kwahiyo waacheni warushe kwani vinawakwaza nini? Si ni vyao? Na hata kama sio vyake why uumie? We huna hiyo interest si basi!!!
 
Mimi ni mwanamke na siko hivyo.... Wanawake wa kutangaza ndoa kabla ya kukubaliana maybe they're just desperate..... Ndo mtu wake wa kwanza?....Au hakui tu kila atakayekutana naye anategemea ndoa...


Kama unayosema ni ya ukweli basi I salute you japo sikuamini....wanawake vigeugeu sana.
 
Mbona mimi nilikusimulia nimepewa Lamborghini ukatamani nawewe bebe akupe hahahahahahah lol
Afu wanawake tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake Eg, boyfriend wake anavyomtreat kumbe muongo mkubwa. Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana, yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia ulivyolala na mtu mmh? What for?
 
Back
Top Bottom