Amakweli nimeamini siasa ni mchezo. Sasa hapo ndo ashawatishia watashindwa ata kusukuma kete. Poaitive mind mbele ila tatizo liko pale pale the Intelligent are still silent.
Mtandao wa ajabu kabisa vocha unaweka zinagoma alaf ukipiga simu huduma kwa wateja unasubirishwa muda mrefu sana. Nimepiga simu huduma kwa wateja dakika ishirini inaniambia subiri utaunganishwa. Haaah kwakweli nimeshangaa sana. Huo mtandao mbovu
Naomba niulize swali. Je ni kweli Rhino/kifaru anakula nyama na mimea pia? Maana nimesoma somewhere wamesema ni Omnivore animal.
Na kama ni kweli mechanism ya digestion inakuaje? Na je ana meno ya kutafunia hiyo nyama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.