issakwisa6810
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 309
- 84
Kingine memory card yangu ni 8gb sijaingiza vitu vingi ila imejaa niinguie wapi kufuta visivyo hitajika
Tecno Phantom Z iliingia bia baada ya hapo ilikuwa na shida zifuatazo
1) Kuchelewa kuwaka :- Haiwaki kama kawaida inavyotakiwa yaani ilikuwa inachelewa sana kuwaka unaweza kuwasha ndani ya masaa 3 haijawaka na inaweza ikaamua muda mwingine ikawaka kama kawaida.
2) Betri haiingii chaji :- Betri haiingii chaji kabisa japo ukiweka chaj ilikuwa inaonyesha inaingia lakin haiingii ata uweke masaa saba hukuti ata bar moja imejaa.
3) Touch haifanyi kazi:- Touch haifanyikazi yaan kidole haki sense kabisa ila ile cover ya cm ya juu ya screen ilikuwa ina sense ukifunika ukifunua
Nilipeleka kwa fundi wote ninaowajua ila wamechemka wote.
Anaewezakunisaidia anisaidie tafadhari
Mkuu media nimehamisha ila
1. Picha/video hazionekani tena (kama vile hazipo kabisa)
2. Bado internal memery bado inasoma kuna nafasi imechukukiwa na photos & video
View attachment 244811
Inaezekana umenunua memory card fake ambazo kwa nje imeandikwa gb8 lskn ukiangalia capacity yake ni 15 plz tafuta ya memory card ya capacity ya chini kisha leta nrejesho
Mkuu media nimehamisha ila
1. Picha/video hazionekani tena (kama vile hazipo kabisa)
2. Bado internal memery bado inasoma kuna nafasi imechukukiwa na photos & video
View attachment 244811
Mkuu na mimi nilijua tatizo ni hilo ila siku nyingi nimejaribu ya 8gb tatizo ni lile lile
Mkuu hizi memory card ni corrupt hivi au simu wanadanganya chukua hyo card icheki kwenye kompyuta utajua shusha memory ya chini. Mie hlo tatzo lilinikumba ila kwa sasa npo vzr mkuu
Nitatafuta ya 4gb niangile mkuu
Simu ninayotumia i aeza ikajibadili audio profile yenyewe na nimezima economy au power save. Shida itakua nini apo?? Natumia Tecno phantom Z/au A7
Mkuu media nimehamisha ila
1. Picha/video hazionekani tena (kama vile hazipo kabisa)
2. Bado internal memery bado inasoma kuna nafasi imechukukiwa na photos & video
View attachment 244811
Kingine memory card yangu ni 8gb sijaingiza vitu vingi ila imejaa niinguie wapi kufuta visivyo hitajika
ndio maana nikakwambia tumia file manager (au pc) fungua folder moja baada ya jengine. mafolder maarufu ni kama
-DCIM-hili hukaa picha ulizopiga na camera
-downloads-vitu ulivyodownload
-whatsapp/media-utakuta vitu vingi vya whatsapp
na hapo kwenye other huwenda na system files lakini pia angalia kama kuna mafile umedownload ambayo simu haiyatambui mfano software za pc ulizotumia
kama una ucweb usisahau kuangalia ucdownload
kama una app nyengine ya kudownloadia angalia folder lake.
hapo utaweza free gb kadhaa maana apps zako si nyingi sana
nenda playstore search es file explorer. fungua mafolder yote ya kwenye memory card kuangalia mafile yaliyomo.
ukiweza kutumia file manager kwenye android effectively inasolve almost 50% ya matatizo yote ya simu
Kaka nimeona sasa nitajuaje LA kutoa ili memory yangu iwenanafasi
Kaka nimeona sasa nitajuaje LA kutoa ili memory yangu iwenanafasi
mi nahisi huwa unapunguza au kuongeza call voice kwa kutumia zile button za pembeni.
ukipunguza sana inaweza au kuongeza sana inaweza ikabadili audio prifile.