Sasa nikawa najiuliza hivi mbona sehemu ya kulipia shilingi 100 haikupeleki kwenye njia ya kulipia ( mpesa, tigo pesa, au muda wa maongezi).******** weka muda wa maongezi unaozidi sh 100 na sio tigo wala m pesa it is workable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo kilaza unaefikiri kuna mwanajeshi atakulegeza miguu ukiingia kwenye eneo lake la ulinzi. Kwanza hakuna mwanajeshi duniani aliyefundishwa kulenga miguu. Tahadhari pekee ni risasi moja hewani kama hukutoa ushirikiano wakati wa mahojiano au ukipewa na kukaidi.
Kama hujui kitu kaa kimya utaonekana na busara, we hata adui hujaweza kumfaham halafu unataka kuwafundisha watu wenye professional zao nin cha kufanya. Unajua Ulinzi upo kwenye zone ngap? Unajua kuanzia umbali gani mtu/adui anaanza kuhojiwa, kupewa tahadhari, kuonywa, kuchukuliwa hatua na aina...
Huyu ni mvuvi, ndani ya maji samaki ni wachache na wanapatikana kwa tabu na kwa kuhatarisha na wakati mwingine kujeruhiwa na viumbe/wanyama hatari lkn mtu aliyoko juu anaetakiwa kukusaidia anafikiri unapata sana hivyo anaendelea kukukandamiza zaid badala ya kutoa msaada *mpina vs uvuvi* kwa...
Hebu tuliza munkari kidogo, soma hizo nukuu mbili vizuri na uzielewe, ya kwanza anaongelea fedha zilizokuwa zikitengwa kwa ajili ya mishahara kwa mwezi na nukuu ya pili ni fedha ambazo serikali ulikua ikipoteza kwa kulipa mishahara hewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumuondoa jasusi mbobezi unahitaji specialized pers to excute that msn, na jasusi anapokua kwenye hatari ya kuuwawa mara nyingi sana ajua nini kinaendelea kutokana na kosa alilofanya, coz adui wa jasusi ni jasusi mwenzie hakuna mtu asiye na taaluma hiyo ambae anaweza hata kuhisi tu kuwa adui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.