Hawachelewi Kuunda Tume Na Ziara Za Viongozi Mbalimbali Wakijifanya Wanawatetea Wananchi Huku Wakijifanya Hawajui Kinachoendelea,,Mbona Wananchi Kelele Siku Mobile Tu Baada Ya Hapo Tumesahau....Na Hatimaye Jambo Lao Linafanikiwa Kiulaini...Wanatengeneza Tatizo Wanaigiza Kulitatua,,Na Hatimaye...
Ndoa Haizuii Kuwa Na Familia...Na Familia Si Ndoa....Familia Inakuwepo Bila Ndoa,,Lakini Ndoa Haiwezi Kuwepo Bila Familia,,Ndoa Haeleti Familia,,Bali Familia Ndio Huleta Ndoa...
###Familia Ni Asili,,Ndoa Ni Ubatili###
Sababu kuu ya wanaume kupata upara huwa ni kwa sababu ya hormone ya TESTOSTERONE ambayo ni MALE HORMONE. Ndiyo maana wanawake hawapatagi upara kwa sababu hawana hii hormone. Hivyo ukitumia dawa ya kuzuia upara maana yake unaenda kushusha kiwango cha hii hormone ambayo ndiyo huwa inawapa wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.