Recent content by Hoffman degradation

  1. Hoffman degradation

    Kuna mapungufu makubwa katika dhana ya uelewa kuhusu maandamano miongoni mwa wananchi wa kawaida

    Ndugu.. Nikupe taarifa kidogo [emoji117]Unapoamua kutafuta haki Na kupinga udhalimu -Huna budi kujali kuhusu majeraha Na kifo.. [emoji117]Wapigania haki,kifo Na majeraha kwao ndio matokeo.
  2. Hoffman degradation

    Watanzania tujiulize, ile risasi iliompiga Aquilina ilimlenga nani haswa??

    Habari Wana Jf. Najua wengi wetu tupo juu ya majonzi mazito juu ya kuondokewa na mwanafunzi wa chuo cha NIT Miss-Aquilina Na majeruhi wengine waliopata dhoruba katika pilika pilika za kutetea haki za kikatiba na zakibinadamu. [emoji117]Ila ndgu zangu Wantanzania/Wana JF tunatakiwa...
  3. Hoffman degradation

    Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya CHADEMA

    Katika Hali isiyo ya kawaida kwa kamanda mwenye uzoefu Na kazi yake.. Akizunguza Na MCL DIGITAL Leo trh 17.febr 2018 kamanda WA polisi,Mambosa [emoji117]amesema kuwa polisi walitumia risasi za moto katika kuwatawanya wanachama WA Upizani baada ya kuandamana.,[emoji117]amesema polisi walipiga...
  4. Hoffman degradation

    Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

    Mke hapigigwi ngumi...anapigigwa kwa note za pesa....mama njoo kwangu ufahi maisha... Japo umri umenizidi ila.... Nitavumilia tu...kwan nitakuwa sijanza Mimi.
  5. Hoffman degradation

    Mliosema bikira zimeisha njooni huku niwaambie

    Ha ha haaa bikira ya kichina hiyo kaka
  6. Hoffman degradation

    Je Zari The bossylady kweli Ni Freemason??

    Ni matumaini yangu wazima kabsa wadau WA JF. Katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram..nimekutana picha za mwanadada WA kiganda ambaye pia Ni shemeji yetu( Zarina Hassan) al-maarufu kama zari the boss.picha kikweli Ni nzuri Na ametokelezea sna....ila pembeni Kuna...
  7. Hoffman degradation

    Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania

    Kumbuka siku moja utakuja kuiacha dunia...bnadam kuwa Na roho ya kinyama,Ni hatari...
  8. Hoffman degradation

    Kitendo cha Kanisa kufungisha ndoa ya Joti huku akiwa amenyoa mtindo wa kihuni ni sahihi?

    Yesu...alisema sikuja kutengua hata nukta....maana yalioandikwa kwenye vitabu vyote Yesu anayabariki maana hta yy ni mtume tu...hakuwa na mamlaka ya kutengua tolati.
  9. Hoffman degradation

    Kitendo cha Kanisa kufungisha ndoa ya Joti huku akiwa amenyoa mtindo wa kihuni ni sahihi?

    Natumaini mpo salama ndgu zangu wa Wana JF....,Leo Katika mitandao ya kijamii,zimesambaa picha za JOTI AKIWA kanisani akiharalisha jiko na kuliweka ndani,hapa Nampa pongezi. Ila Huyu bwana harusi kichwani alinyoa MTINDO aina ya kiduku....Sasa nauliza KANISA KUFUNGISHA NDOA YA Mtu alionyoa MTINDO...
  10. Hoffman degradation

    Hii kauli ya Mhe. Nape inamaana gani?

    Habari Wana JF....Leo Katika pitapita yangu Katika Mtandao wa kijamii Instagram...nimekuta na KAULI ya mh.Nape Mb.wa jimbo la Mtama.. Mh.apost picha nakuandika KAULI **Wakinizingua Mara Paaap!!** Hapa wajuzi wa kuchambua mtupe maana kamili ya haya maneno Pengine Nape Anataka kuyaishi na kufanyia...
  11. Hoffman degradation

    Mbowe, TLS mko wapi kutoa taarifa za Lissu?

    Ni kwamba si kila jambo la nchi jirani lazma Cdm itoe tamko....mda mwingine huwezi kuingilia mambo ya ndani ya nchi ambayo si yetu .
  12. Hoffman degradation

    Mh. Angellah Kairuki waache watumishi wa Umma wapambane na hali zao

    Katika hali ya kuwakatisha tamaa watumishi wa Umma waliochoka kusikia Matamshi bila vitendo, Leo tena ameibuka Mh. Angellah Kairuki bungeni alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalum Susan Masele, na kusema kuwa nyongeza na upandishaji wa Madaraja kwa Watumishi uliathiriwa na Vyeti feki...
  13. Hoffman degradation

    Amber Lulu, young D, Kwa picha hizi mtaenda kujibu nini kwa Mungu wenu muumba?

    Si bishana na akili finyu...ova Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Hoffman degradation

    Mtatiro: Msajili anataka kubadili sheria ili awe na mamlaka ndani ya vyama lengo kuua upinzani na kuweka mamluki

    Dr slaa nae anarudi kuwa katibu chadema Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom