Hoffman degradation
Member
- Jan 29, 2017
- 61
- 66
Habari Wana Jf.
Najua wengi wetu tupo juu ya majonzi mazito juu ya kuondokewa na mwanafunzi wa chuo cha NIT Miss-Aquilina Na majeruhi wengine waliopata dhoruba katika pilika pilika za kutetea haki za kikatiba na zakibinadamu.
Ila ndgu zangu Wantanzania/Wana JF tunatakiwa kujiuliza,kuwa Ile risasi iliompiga mtanzania wenzetu asiye Na hatia ilimlenga nani haswa?
Mimi kwa fikra zangu nafikiri hii lisasi ilimlenga mtu aliyekuwa kwenye Maandamano lakini Mungu si Athumani, akaiepusha hiyo risasi Na kwa bahati mbaya ikaenda kumpata Aquilina.
Tanzania Ni nchi ya Amani sna tunaomba jeshi la polisi liwe makini sna kuilinda tunu hii tuliochiwa Na waasisi wa Taifa letu.
@
Damu hizi zikiendelea kumwagika Taifa halitakuwa salama hata kidogo..
Naililia Tanzania ya Amani
R.I.P Miss-Aquilina
Najua wengi wetu tupo juu ya majonzi mazito juu ya kuondokewa na mwanafunzi wa chuo cha NIT Miss-Aquilina Na majeruhi wengine waliopata dhoruba katika pilika pilika za kutetea haki za kikatiba na zakibinadamu.
Ila ndgu zangu Wantanzania/Wana JF tunatakiwa kujiuliza,kuwa Ile risasi iliompiga mtanzania wenzetu asiye Na hatia ilimlenga nani haswa?
Mimi kwa fikra zangu nafikiri hii lisasi ilimlenga mtu aliyekuwa kwenye Maandamano lakini Mungu si Athumani, akaiepusha hiyo risasi Na kwa bahati mbaya ikaenda kumpata Aquilina.
Tanzania Ni nchi ya Amani sna tunaomba jeshi la polisi liwe makini sna kuilinda tunu hii tuliochiwa Na waasisi wa Taifa letu.
@
Damu hizi zikiendelea kumwagika Taifa halitakuwa salama hata kidogo..
Naililia Tanzania ya Amani
R.I.P Miss-Aquilina