Mbowe, TLS mko wapi kutoa taarifa za Lissu?

Mbowe, TLS mko wapi kutoa taarifa za Lissu?

Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa TZ wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimia katika hili.
Hata Chadema nao kimia huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka walkipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

Chadema na nyinyi vip?
CHADEMA gizani....walishapoteza muelekeo siku nyingi....sasa hivi wamebaki na UKUNGURU TU!
 
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa Tanzania wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimya katika hili.
Hata CHADEMA nao kimya huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka wakipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

CHADEMA na nyinyi vipi?
Ni bora hao Kenya raisi katoa vitisho na watu wamempinga na hakuna aliyewakamata wapingaji wa tamko la raisi wala kupigwa risasi. Hiyo ndiyo demokrasia - kupingana kwa hoja.

Hapa kwetu ukipinga kauli ya raisi unajua ni kitu gani kitakupata? Watu wasiojulikana unawajua? Nisan nyeupe unazijua?
 
Wao wanasasidiwa hadi na SA kutoa matamuko ila kwa hili limewakaba shingoni..Haha..Nacheka zangu afu fuuuuuuuu
 
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa Tanzania wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimya katika hili.
Hata CHADEMA nao kimya huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka wakipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

CHADEMA na nyinyi vipi?
Ni kwamba si kila jambo la nchi jirani lazma Cdm itoe tamko....mda mwingine huwezi kuingilia mambo ya ndani ya nchi ambayo si yetu
.
 
Ni bora hao Kenya raisi katoa vitisho na watu wamempinga na hakuna aliyewakamata wapingaji wa tamko la raisi wala kupigwa risasi. Hiyo ndiyo demokrasia - kupingana kwa hoja.

Hapa kwetu ukipinga kauli ya raisi unajua ni kitu gani kitakupata? Watu wasiojulikana unawajua? Nisan nyeupe unazijua?
Jibu hoja!
Inaonesha jinsi gani ulivyo misinformed! Baadhi ya hao majaji wamehamisha familia zao kwa hofu baada ya kuomba ulinzi na kunyimwa. Sijui hili unalisemaje Bavicha
 
TLS yenyewe unaishutumu wakati sisi tunawaziba midomo viongozi wake. Wewe unataka wakosoe ya Wakenya wakati ya huko kwenu Tanzania mmewakataza wasiyakosoe!? Watu wasiojulikana + silaha za kivita hii ndio Tznia iliyobaki.
 
Kumbe na ninyi inawauma? nilini uliwahi kulalamika kutolewa kwa vitisho kwa mahakama na bunge letu na malaika wa ccm?
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa Tanzania wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimya katika hili.
Hata CHADEMA nao kimya huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka wakipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

CHADEMA na nyinyi vipi?
 
Ni bora hao Kenya raisi katoa vitisho na watu wamempinga na hakuna aliyewakamata wapingaji wa tamko la raisi wala kupigwa risasi. Hiyo ndiyo demokrasia - kupingana kwa hoja.

Hapa kwetu ukipinga kauli ya raisi unajua ni kitu gani kitakupata? Watu wasiojulikana unawajua? Nisan nyeupe unazijua?
has it been confirmed??: who are watu wasiojulikana?
Who's the owner of Nissan ?
 
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa Tanzania wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimya katika hili.
Hata CHADEMA nao kimya huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka wakipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

CHADEMA na nyinyi vipi?
Haitatokea, watakua wamejilaumu, au wamejishutumu wenyewe, impossible!
 
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

Haya yamefanywa na anayeungwa mkono na wapinzani hapa Tanzania wakimsifu kuwa ni Baba wa Democracy EA.

Cha kushangaza zaidi si TLS hapa kwetu wako kimya katika hili.
Hata CHADEMA nao kimya huku wakitumia nguvu kubwa kupayuka wakipiga Selfie kwa vicheko bila aibu huko Kenya ambako pia wameonekana wakipewa Airtime za Television na kutumia kupaka matope Nchi yao. Aidha kutumika tena kumpigia debe mtoa vitisho huyu ashinde tena Urais na pengine kwa njia ile ile ya "Cambridge Analytical Data"

TLS mnatuambia nini kuhusu hili la Raisi wa Kenya kutoa vitisho dhidi ya Mhimili wa Mahakama?

CHADEMA na nyinyi vipi?
Samahani naomba kuuliza, unatumia nini kufikiria? Maana ubongo wa kawaida wa mwanadamu hauwezi kutoa hiki ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom