Pole kwa mkasa unaokusibu katika maisha always kuna pande mbili kama ilivyoshilingi. Na kama ni mumeo na mlifunga ndoa kanisani kuna haja ya kumlilia bwana, jaribu kuomba ushauri hata kene mabaraza ya watu wazma, ikiwemo hata watamushi wa kiroho, hyo grieving period ya kuhusu wazaz wake...
dada anaamka
mapema na kuandaa kila kitu
ikiwamo na chai,, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka.)
MKE: dada msindikize baba ili ufunge geti sababu bado ni giza
DADA: sawa mama.
(Dada anatoka na begi la baba hadi nje kwavile mkewe yupo ndani,, baba anamtaka dada abaki vizuri na watoto,, dada...
Hahahaaha kwakweli mwanamke anayesema hakuogopi yaan ukianzisha vanga naye yumo still unataka kumuona alivyo tu inaonesha hata heshima yake niyakushikiwa...[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Well kwa mtu mwenye akili timamu hawez kumzomea "muheshimiwa" bila vyama pinzani mpak sasa watanzania tusingekuwa tunajua yaliyomo... we are blessed kuwa ma watu educated, intelligent ammbao mara nyingi wanajitolea kwaajili yetu ila sisi tupo... tu yaan nisawa kama baba anakuamsha asubuhi uamke...
Natafuta kaz ambayo mshahara wake utaweza kukidhi mahitaji yangu nina diploma ya land management, valuation n registration....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.