Hamisa Mobetto new Song "SAWA" ni Fire

Pugi kipaji chake kudokoa mabwana wa wenzie, muziki aachie akina ruby

kama masikhara.. graduates tunakomaa na salary za less than a milioni... sasa hivi utasikia hamissa kapata deal ya hallotel na vinyimbo vyake uchwala. mara kajenga nyumba kama nandy.. mziki una upuuzi sana. unaweza usijue kuimba ila ukiwa na nyota tu ya kupata dili kampuni kubwa kama ya simu au vinywaji milioni 100 hii hapa mkononi bwaaa.. umejenga
 
Duh , hamisa naona kaanza kuiva, mwanzo nilikua simuelewi kabisa , Ila hii single yake mpya ya SAWA mmmh nandy na rubby wajipange, bidada anakuja vizuri, wasim understimate kabisa , hii nyimbo konki sana , yani tamu , ya kimahaba na sauti humu kajitahidi kutulia kwa kweli

Ni bora tu ukaroge upendwe na mashabiki uachane mambo ya kuroga diamond , yan wewe ni next level , wanaosubir ushuke watasubir, hongera sana hamisa , kipaji nimekielewa aiseh , yan dah, endelea kupiga kazi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Binafsi naona hamisa hana sauti ya kuimba ni nyembamba sijui ndogo haileti hisia kama inasikiliza wimbo tofauti na sauti ya Ruby na nandi

Hapa naongelea sauti ya kumtoa nyoka pangoni,nahisi wewe ni team misa,. Mi sina team ila kwenye ukweli lazima tusema,hamisa ana sauti ya haya iliyojaa woga si kwenye kuigiza wala kuimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu binti deals anapata ila hana akili za maendeleo,hivi unajua kwamba ana ubalozi wa rasta ila sasa tangu awe balozi biashara ya hizo rasta inadoda. Hana nyota ya bahati
kama masikhara.. graduates tunakomaa na salary za less than a milioni... sasa hivi utasikia hamissa kapata deal ya hallotel na vinyimbo vyake uchwala. mara kajenga nyumba kama nandy.. mziki una upuuzi sana. unaweza usijue kuimba ila ukiwa na nyota tu ya kupata dili kampuni kubwa kama ya simu au vinywaji milioni 100 hii hapa mkononi bwaaa.. umejenga
 
Back
Top Bottom