-kucopy na kupaste hapana. ingekuwa hivo asingefuta shamrashamra za sherehe maana Lowasa kutangaza nia tu alitumia mamilioni ya fedha. kukusanya sahihi za wadhamini ndo usiseme. naona Magufuri anatekeleza ya moyoni mwake.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya pikipiki kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu hapa nchini.
Wimbi hili linahusishwa na wanaotaka uongozi kuweka order kubwa kwa ajili ya kuwahonga vijana kwenye majimbo ili kuwashawishi wawaunge mkono.
Takukuru mpo?
watanzania tumegeukia biashara ya udalali kila sehemu. wenye kusema ukweli wanaonekana wabaya. tuibane serikali iweke mtaji wa kutosha TPDC kusudi hisa zetu ziwe huko. watu binafsi wengi wetu madalali na wachumia tumbo tu na wala siyo kwa maslahi ya maskini wa nchi hii.
waendeleze vitalu vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.