Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
Haaaahaaaaaaahaaaaa mkuu nimekusoma msalimie wife bana mwambie namsabahi sana.
Mke wangu kwenye pesa wala sina haja ya kuweka alarm, hata sasa 10 usiku ukimwambia utaamshwa hadi ahakikishe umejiandaa na kuwahi. Chezea pesa weye