kwenye soccer visasi hugharimu kama iccidence ya matic kwenye mechi ya burnley fouk alichezewa yeye na aliporeact alikula umeme mwenyewe kwan uongo na nyie nliitetea saaaaana leo kwa chelsea nongwa kuwen fair
au umekosea uzi we jamaa.kwan jina lina uhusiano gani na mtu? leo we ukiitwa mbwa utabadilika sura utakuwa mbwa.haya mi majina na picha yangu hivo hapo niambie umefaidika nn navyo.au watafuta ndugu nenda rfa c hapa yaan umeniudhi vibaya sana kwan we obama sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.