Recent content by hendsamu wa forum

  1. hendsamu wa forum

    Mitongozano.com: Ni matukio gani hutoyasahau?

    Wangefananisha mwandiko na wa kwenye daftari
  2. hendsamu wa forum

    Mpenzi wangu kanisingizia nimemuibia

    Hahaha kitaalamu amekulipa elfu 20....ila kuna kamsemo MPENZI HAKOPESHWI
  3. hendsamu wa forum

    Ameniacha eti sijui ku-care

    Ahhahaha wewe ni mume wa yule dada nini anaetaka jamaa anaemcare
  4. hendsamu wa forum

    Mitongozano.com: Ni matukio gani hutoyasahau?

    Hahaha mkuu niwie radhi bhnaa hahaha
  5. hendsamu wa forum

    Mitongozano.com: Ni matukio gani hutoyasahau?

    me nakumbuka kuna mtoto wa jiran nilikua namuelewa kumfata naona soo sasa nikaandika bonge barua nikanunua na kadi ya I LOVE U(kipindi cha kadi ilikua si mchezo) nikampa bhasi nimetoka misele nafika home maza akanambia kuna mzigo wako umeletewa na mama naniii(mama wa dem) kufika nikakuta ile...
  6. hendsamu wa forum

    Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

    Bora mwanamke akuletee shida kuliko kakaako unaemtegemea..madhara yapo kote ila usipomueleza kakaako akajua kabla yako atajua uliku unamega
  7. hendsamu wa forum

    Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

    Punguza munkari hahhahahahah angekua karibu huyu sijui ungemkat ulimi [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  8. hendsamu wa forum

    Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

    Kuenjoy zenj ni emergency?
  9. hendsamu wa forum

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Kama MUNGU alikuvusha ya miaka tisa KWANN sahivi HUAMINI ATAKUVUSHA??
Back
Top Bottom