Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

Naombeni ushauri kwa huyu mwanamke

Mkuuu umeongea pointi kubwa sana manake baada ya mahojiano nae Jana akasema yaaani mungu anisaidie nipate kaz niachane nahaya mambo
Sasa mkuuu naomba unishauli yy Leo drsn anatoka saa tatu usiku Mimi nimeshatoka ili nionekane gentlemen nioshe vyombo na nipike au nikaushe
Mkuu, wanawake ni watu wa kukaa nao makin saana. Naamin kabisa muda wa miez sita unatosha kila mmoja kumsoma mwenzake. Jaribu kufanya tathimin ya namna mlivyokua mnaish hapo mwanzon na sasa. Kama unaamin ana mapenz ya dhat kwako, kaa ongea nae kiustaarab naamin atakulewa. Bt sometyme kwa kua humjaoana usipende kua open saana kwa kila kitu kwake coz anaweza kujua udhaifu waako ulipo na akautumia kukutesa..
 
Huyo naona ni dem cyo mwanamke na hafai kuwa mkeo atakurudisha nyuma kimaendeleo
 
Wewe ndo mbaya, huyo binti umempa hela za emergency, sasa kama imegence imetokea akatumia mbona umalalamika?

Na kweli hujamtolea mahari wala nn, unataka akufanyie nn? Nawe kweli mtu kasafiri anakuta vyombo vichafu, halafu unamjibu kwa jeuri hivyo, we ulitaka yy afanyaje? Jiweke na wewe kwenye nafasi yake bas uone anavyopata taabu.

Wanawake mnapokosea ndio hapo tu na baadae mnalalamika hamuolewi yani wanawake wengi ni chanzo cha stres kwa wanaume kwa vitu kama hivyo mbona wewe unahudumiwa kila kitu na unaona ni sawa kwani huyo ni baba ako?

Hudumu kila kitu kama mke na mume kwa kuwa mmeamua kuishi hivyo shawishi mahari ikatolewe kwa upendo na amani kabisa hakutakuwa na tatizo hapo lakini ukitaka mahari ikalipwe kwa kufanya jeuri tutaona kuwa hutufai kwa huko mbele jeuri itakuwa ni kubwa zaidi kwaiyo mahari hapo utaisikia kwenye bomba
Mfano mzuri ni huu hapa
 
Duh, nimeanza kuamini usemi Wa wakuu humu kwamba jinsia ya kiume iko mbioni kupotea kabisa katika uso Wa dunia...........
Duh, nimeanza kuamini usemi Wa wakuu humu kwamba jinsia ya kiume iko mbioni kupotea kabisa katika uso Wa dunia...........


Mi nimeshangaa sana kuona mwanaume tena msomi unakuja na bandiko la kitoto kama hili. hapo unataka tukushauri nini sasa. kweli ndoa utaiweza kama vitu vidigo tu kama hivi unakuja na bandiko la kuomba ushauri.
 
Mi nimeshangaa sana kuona mwanaume tena msomi unakuja na bandiko la kitoto kama hili. hapo unataka tukushauri nini sasa. kweli ndoa utaiweza kama vitu vidigo tu kama hivi unakuja na bandiko la kuomba ushauri.
Cha kusikitisha zaidi kasema ye ni mwalimu pia, kashindwa tatizo dogo kama hili, atawezaje kuwaongoza wanafunzi mtu kama huyu.

Yaani suala dogo tu, mtu anakuja kulialia humu jukwaani, hayo yote yamesababishwa na vile alivomlea huyu binti kipindi chore cha miezi sita aloisema.......Jamani wanaume kuna nini jamani siku hzi?????
 
kwenda huko , yani wewe umgonge mtoto wa watu, umpikilishe kwenye jiko lako la kuinama plate moja, akufulie afanye usafi na bado unalalamika kutumia hela yako ya emergency ,... kama unataka kumfaidi kaoe huko ,,.. yani nadhani mimi ungekuwa umeshaandika thread ukiunganisha nikitabu cha page 300, we soma kwanza jijenge halafu oa acha hayo mambo wacha akugombeze kabisa na kukutoboa hayo macho
Umpikilishe kwenye jiko lako la kuinama plate moja miss chagga Acha uchokozi[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Vyuoni watu kuishi pamoja kusaidiana kupunguza ugumu wa maisha ni jambo la kawaida sana. Baada ya kumaliza masomo kila mtu anasepa zake.

Kwenye maelezo yako sijaona sehemu hata moja ukimtamka kama nyie ni wapenzi au mna mipango ya kuja kuwa mume na mke hapo baadae.

Kuhusu shughuli za ndani, usimtegemee mwanamke sana kufanya hizo kazi kwa sababu unapaswa kujipenda wewe kama wewe, kuwa smart na weka geto lako safi muda wote. Nguvu unazo na muda unao, weka mazingira yako safi wala usimtegemee msichana. Kumbuka, hiari yashinda utumwa.
 
Ndugu zangu nimekuwa ndugu yenu nikiishi na mwanamke geto huku wote tukiwa ni wanafunzi wa vyuo tofauti hapa dsm but Mimi nimekuja kimasomo tukaanzisha mahusiano taaluma yangu ni mwalimu


Ndugu zangu nimeishi na binti huyu Geto moja namhudumia kila kitu ispokuwa ada tu. Mbali na ualimu mimi ni mfanyabiashara kipato changu kwa mwez sio chini ya milioni moja.



Ndugu zangu juz Dada yake aliugua huko mkuranga akapata taarifa akaniambia tukiwa geto naenda mkuranga nikamuambia mpe Pole shem akasema sawa akaniomba nauli nikampa elfu kumi akaondoka.


Siku za nyuma nilimpa laki moja kwa ajili ya Emergency yoyote sio matumiz ya nyumbani.

Amerudi nikamuuuliza naomba ile laki niliyokupa ananiambia imetumika kwa dada yake imebaki elfu50 nikamuambia mbona unapewa majukum makubwa ilihali ww mwanafunz na ikumbukwe kuwa dada yake huyo kaolewa na jamaaa akanijibu kwa hiyo umechukia pesa yako kutumika huko nikamjubu ww ni mwanafunz hupaswi kupewa majukum makubwa akanijibu nimetumia kwa matumiz yangu mwenyewe ww kwani huna matumiz? Nikamuambia Kwanzia Leo emergency money ntazishika mwenyewe na of course Nilikuwa nataka zikifika laki5 nimpeleke Zanzibar tukaenjoy kwa sababu matumiz kila kitu nakamilisha kuanzia lotion, spray, nk. Kwa hiyo kuna pesa huwa napata kwenye biashara nikiona mapato mazr Kias nampa hata laki 2 au3 ashike lakini nimekuwa nakuta zimepungua.


Jana amerudi toka mkuranga amekuta vyombo vichafu kama alivoviacha ameanza kunigombeza umeshindwa kuosha vyombo kuanzia leo ntakuwa sipiki nimemjibu kuwa majukum ya kaz za ndani ni ya mwanamke akaniambia ww hujanilipia Mahalia sisitahili kukupa huduma zote. Akawa kachukia nakusema hatanipikia chakula na wadau nimeishi na huyu binti miez sita nikimhudumia kila kitu kanifulia nguo zangu mara mbili tu.
Tulipoamka asubuhi baada yakunipa ile elfu hamsini nikampa elfu kumi akaicha kitadani tukaondoka kwenda kupanda daladala


Naomba ushauri juu ya hili je ananifaa huyu binti kuwa mie?
Ndugu zangu nimekuwa ndugu yenu nikiishi na mwanamke geto huku wote tukiwa ni wanafunzi wa vyuo tofauti hapa dsm but Mimi nimekuja kimasomo tukaanzisha mahusiano taaluma yangu ni mwalimu


Ndugu zangu nimeishi na binti huyu Geto moja namhudumia kila kitu ispokuwa ada tu. Mbali na ualimu mimi ni mfanyabiashara kipato changu kwa mwez sio chini ya milioni moja.



Ndugu zangu juz Dada yake aliugua huko mkuranga akapata taarifa akaniambia tukiwa geto naenda mkuranga nikamuambia mpe Pole shem akasema sawa akaniomba nauli nikampa elfu kumi akaondoka.


Siku za nyuma nilimpa laki moja kwa ajili ya Emergency yoyote sio matumiz ya nyumbani.

Amerudi nikamuuuliza naomba ile laki niliyokupa ananiambia imetumika kwa dada yake imebaki elfu50 nikamuambia mbona unapewa majukum makubwa ilihali ww mwanafunz na ikumbukwe kuwa dada yake huyo kaolewa na jamaaa akanijibu kwa hiyo umechukia pesa yako kutumika huko nikamjubu ww ni mwanafunz hupaswi kupewa majukum makubwa akanijibu nimetumia kwa matumiz yangu mwenyewe ww kwani huna matumiz? Nikamuambia Kwanzia Leo emergency money ntazishika mwenyewe na of course Nilikuwa nataka zikifika laki5 nimpeleke Zanzibar tukaenjoy kwa sababu matumiz kila kitu nakamilisha kuanzia lotion, spray, nk. Kwa hiyo kuna pesa huwa napata kwenye biashara nikiona mapato mazr Kias nampa hata laki 2 au3 ashike lakini nimekuwa nakuta zimepungua.


Jana amerudi toka mkuranga amekuta vyombo vichafu kama alivoviacha ameanza kunigombeza umeshindwa kuosha vyombo kuanzia leo ntakuwa sipiki nimemjibu kuwa majukum ya kaz za ndani ni ya mwanamke akaniambia ww hujanilipia Mahalia sisitahili kukupa huduma zote. Akawa kachukia nakusema hatanipikia chakula na wadau nimeishi na huyu binti miez sita nikimhudumia kila kitu kanifulia nguo zangu mara mbili tu.
Tulipoamka asubuhi baada yakunipa ile elfu hamsini nikampa elfu kumi akaicha kitadani tukaondoka kwenda kupanda daladala


Naomba ushauri juu ya hili je ananifaa huyu binti kuwa mie?
Cha muhimu hapo fuata utaratibu wote wa kisheria na dini ili aweze kuwa mke wako wa halali nikisema hivyo nadhani naeleweka tafuta washenga wapeleke barua kwao ikishajibiwa utangaze ndoa umtolee mahari mwisho umuoe na yakitokea matatizo kwenye ndoa hapo unaweza ukapeleka malalamiko yako kwa wazazi wako au wake kama mtashindwa wenyewe kuyatatua na sio kwa watu wengine ambao wanaweza wakakupa ushauri ambao utaharibu ndoa yako.
 
kwenda huko , yani wewe umgonge mtoto wa watu, umpikilishe kwenye jiko lako la kuinama plate moja, akufulie afanye usafi na bado unalalamika kutumia hela yako ya emergency ,... kama unataka kumfaidi kaoe huko ,,.. yani nadhani mimi ungekuwa umeshaandika thread ukiunganisha nikitabu cha page 300, we soma kwanza jijenge halafu oa acha hayo mambo wacha akugombeze kabisa na kukutoboa hayo macho
Punguza munkari hahhahahahah angekua karibu huyu sijui ungemkat ulimi [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kibovu kaka, hapo huna mke. Kwanza hana fadhila, wanawake wote humu watamtetea mwenzao lakini ukweli ubaki kuwa ukweli huyo hakufai. Kile kitendo cha kukaa naye tu geto kwa mwanamke muungwana wewe usingejifulia, kupika wala kuosha vyombo wala kuhangaika na usafi labda ukipenda mwenyewe. Hapo hata ukimchumbia jua akipata kazi huna chako atakupuuza.

Maana keshasema akipata kazi ataondokana na hayo mambo. Huyo hakupendi, yupo kwako kwa sababu unamsaidia naye amejitoa rehani kutumika kimapenzi kwa kipindi hiki mpaka mambo yake yatakapokaa sawa.
Ushauri wangu achana naye.
We don't beg, we negotiate.
 
Back
Top Bottom