gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
yaani huyo demu ni me kuliko weweMi n kk co dd. Any way poa. Nimekupata fureshi.
yaani huyo demu ni me kuliko weweMi n kk co dd. Any way poa. Nimekupata fureshi.
Jana mpenzi wangu aliniita kuchukua hela nliyomkopesha. Ilikuwa tsh 100,000. Nlikaa kidogo, baada ya kunipa hio hela nikaondoka. Baadae jioni, masaa ma4 hiv akanipikia kuwa ameibiwa hela na anahisi ni mimi. Bahati nzuri ile hela alonipa bado nlikua nayo. Nikaenda nikamkuta na rafiki zake. Waliponiona wakatoka nje kidogo wakaongea af yeye akarudi ndani kwake, marafiki zake wakaingia vyumbani kwao. Nikamuuliza nn kinaendelea,. Akanambia ameibiwa tsh 80,000. Na anahisi ni mimi. Nikwamwambia sijachukua hela ake, na sijawahi kuiba hela wala kitu cha mtu. Akasisitiza mm ndo nimeichukua. Nikaona isiwe shida nikachukua tsh 80,000 nikampa. akafanya kukataa. Nikamwekea mezani nkaondoka. Nikabakiwa na tsh 20,000.
Leo asubuhi nimemjulia hali kwa sms hajajibu.
Kama ni ww ungefanyeje.



Mleta post wa kiume.Akaufukuzae hakwambii toka dada, ila na ww una moyo
Unadhani kati ya huyu jamaa na huyo dada nani mjinga? I'd have done the same, 80K kitu gani bwana. Hakuna kitu kibaya kama mtu mnayeaminiana kukuzushia uongo.yaan kuna watu wakisema ni wanaume unaanza kuutafuta uko wapi huo uanaume.
kwanza anakupigia simu umeniiibia na ww hujaiba unaenda unamlipa?
mie angejifunza kusoma nakuambia
na angejua nane ni sifuri zilizoungana ama ni tatu zilizogeukiana
Jana mpenzi wangu aliniita kuchukua hela niliyomkopesha. Ilikuwa tsh 100,000. Nilikaa kidogo, baada ya kunipa hio hela nikaondoka. Baadae jioni, masaa ma4 hivi akanipikia kuwa ameibiwa hela na anahisi ni mimi. Bahati nzuri ile hela alonipa bado nilikuwa nayo. Nikaenda nikamkuta na rafiki zake.
Waliponiona wakatoka nje kidogo wakaongea alafu yeye akarudi ndani kwake, marafiki zake wakaingia vyumbani kwao. Nikamuuliza nini kinaendelea. Akanambia ameibiwa tsh 80,000. Na anahisi ni mimi. Nikwamwambia sijachukua hela yake, na sijawahi kuiba hela wala kitu cha mtu. Akasisitiza mimi ndo nimeichukua. Nikaona isiwe shida nikachukua tsh 80,000 nikampa akafanya kukataa.
Nikamwekea mezani nikaondoka. Nikabakiwa na tsh 20,000.
Leo asubuhi nimemjulia hali kwa SMS hajajibu.
Kama ni wewe ungefanyeje?