Mitongozano.com: Ni matukio gani hutoyasahau?

Mitongozano.com: Ni matukio gani hutoyasahau?

Ila mapenzi hayaa!!! Mimi nilikuaga nampikia boyfriend hadi chapati... Naiba soksi za baba nampelekea... Kuna kipindi alikua na shida ya hela nikaiba nyumbani... Enzi hizo wazee walikua wanaweka hela nyingi ndani... Hawakujua kama zimepunguzwa... Yaani mzee anatoka safari za nje ananiletea zawadi na mie moja kwa moja nampelekea baby!!! Yaani enzi zile ningekua nafanya kazi nadhani ningemkabidhi mshahara wangu wotee...
Yaani najuta kufanya yote hayo kwa fa.la yule aisee!!! Sijui utoto au ndo love is blind!!!
Huyo jamaa itakuwa ndiye aliyekukata nyuzi!😱
 
Mi na kumbuka kuna kaka nilikua nasali nae kanisa moja yeye anaimba kwaya sasa kila tukitoka kanisani anatupiga tafu mimi na dada zangu badae akawa anakuja Hadi home anajiiba iba bwana we sister si akamuona akamwambia maza kua uyu anazoeana na yule kijana muimba kwaya na alikua anafanya kazi mie nipo form2 sasa miezi tukapanga na yule kaka kua jumamos nikitoka tuition nipitie kwake anifundishe mahaba yalivyo mana nilikua bdo bikrA we kumbe sister akausoma mchezo bwana we nipo kwa jamaa ndo kwanza nimefika tunashkana mie ndo naona utamu unanoga mara mlango huo ukafunguliwa kutizama maza na sister na brother wangu mkubwa kafula mbona ulikua mtiti mie kilio kama nimefiwa mpaka mjumbe kuingilia bado kdg jamaa apelekwe police unaambiwa jamaa kesho yake alitoroka na begi sikumuona tena mpaka nilipokua chuo ndo tulikutana town kashaoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamanii! C ungemuonjesha kidogo hata kama kaoa? 🙄
 
Mi na kumbuka kuna kaka nilikua nasali nae kanisa moja yeye anaimba kwaya sasa kila tukitoka kanisani anatupiga tafu mimi na dada zangu badae akawa anakuja Hadi home anajiiba iba bwana we sister si akamuona akamwambia maza kua uyu anazoeana na yule kijana muimba kwaya na alikua anafanya kazi mie nipo form2 sasa miezi tukapanga na yule kaka kua jumamos nikitoka tuition nipitie kwake anifundishe mahaba yalivyo mana nilikua bdo bikrA we kumbe sister akausoma mchezo bwana we nipo kwa jamaa ndo kwanza nimefika tunashkana mie ndo naona utamu unanoga mara mlango huo ukafunguliwa kutizama maza na sister na brother wangu mkubwa kafula mbona ulikua mtiti mie kilio kama nimefiwa mpaka mjumbe kuingilia bado kdg jamaa apelekwe police unaambiwa jamaa kesho yake alitoroka na begi sikumuona tena mpaka nilipokua chuo ndo tulikutana town kashaoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha haaa, na angekukaza huyo, umeponea MPEPENI KWELI
 
Ushakua na experience now unajua Mbivu na Mbichi.Ile form II yako ulikuwa unamuona handsome,ndo maisha hayo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] na low cut yng mwenyewe nilikua kama flaviana[emoji2]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Daaaah Hizi Mingle za Madem znankumbusha mbal sana. Mwaka 2008 nkiwa Form 4 pale Azania, Nlikua na jamaa yng nnasoma naye pia hata majina ya mwanzo yana fafana na mimi. Huyu jamaa kwa sasa n Marehemu (RIP Brother).
Huyu jamaa alikua anakaa mbezi Beach pale mtaan kwao kulikua na Demu mmoja mkali sana. So jamaa alikua anafukuzia Huo mzigo kwa muda . Hatimaye alifanikiwa kula Tunda na wakawa Wapenz kwa muda kadhaa. Lakn Baada ya Muda wa miez kama 6, Hile familia ya mwanamke/Demu kutokana na Hali ya Uchumi kuyumba ikabidi wauze nyumba yao mbezi na kuamia kwenye Nyumba yao Nyingime Mbagala. Lakn Mapenz yao na jamaa yangu yaliendelea kama kawaida.
Kuna cku Jamaa alituaga anakwenda kuonana na mpenz wake Hko mbagala, So jamaa aliondoka na Marafk wetu wawili kwenda Hko kwao na Demu wake. Baada ya kufka Huko mabagala nyumbani kwa yule Demu, Getini walikutana na Caretaker/Watchman/Onerungu wa familia hyo. Baada ya kufka pale yule Caretaker aliwauliza wao n wakina nan na watataka nn.....?
Basi wale ndugu zetu walileta ubabe na kuanza Kumjibu yule Caretaker wa hyo familia Vibaya c unajua tena Ujana na maji ya moto pia kuwa mwili nyumba/Body Builder n tabu sana. Basi yule mlinzi aliwafukuza kwa mawe na kuanza kuwaitia kwamba n wezi. Na Wananchi wenye Hasira kwa kali wakuja na kuanza kuwakimbiza wale mwanafunzi wenzangu.
Bahati mbaya yule alifuata Demu wake alijikwaa nakudondoka chini. Ghafla Bini vuuu wale wananchi warifka na kuanza kumpiga mwanafunzi nwenzetu bila ya kujua kisa halisi cha wao kuitiwa wezi. Walimpiga sana na hatimae walimuua kifo kibaya sana. Kifo cha Maumivu makal sana. Ni miaka 9 sasa imepita toka jamaa atangulie mbele za Haki.
Inaskitisha sana,
 
Yaani ndo mambo yanavyokwenda, kuna wakati mtu unakaa unawaza unajiuliza "Hivi pale nilikuwa nimependea nini?Unakosa majibu"
Hapo ndo upo next level
Yani kama ulikuepo in my mind naona mbona kituko kile mpaka nachuniana na maza hata wiki yani kweli kupenda upofu aisee
 
  • Thanks
Reactions: SDG
pia kuna siku kipindi nikiwa mgeni ktk malove nilikutana na mtt wa kipare mjini moro mkali kichiz nikafanikiwa kumtia nyavuni.

Aisee kwenda Ccm kirumba mtoto kachojoa dah msafi hana hata doa papuch safi kama wale wa kwenye move.

Aise nilichanganikiwa nikajiona kama nipo kwenye tv. Baada ya michezo ya hapa na pale nilipomuingiza tu Babu seya kichwa pale pale wazungu wakatoka nje aisee. Alinipa hofu nilikuwa siamini kama tz kuna watu kama wa kwenye zile move nilikosa confidence kabisa akawa ananituliza.
Ha haaaaa, ulikuwa kama mgonjwa wa kisukari kaka
 
Yani kama ulikuepo in my mind naona mbona kituko kile mpaka nachuniana na maza hata wiki yani kweli kupenda upofu aisee
Ha haaa, ndo inavyokuwa na wasichana bwana mkipenda mnaweza gombana na UKOO WOTEEEE...na ukajikuta ndugu zako ni ndugu wa mwanaume tu.............
 
Wanawake inaonekana wana uwezo wa kufanya biashara za magendo, kwenye jukwaa hili jamaa wengi sana wamefichwa na wanawake kuepusha mafumanizi, still wanawake wana uwezo mkubwa sana wa kutatua changamoto
Asilimia zote sahihi hii
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Asilimia zote sahihi hii
Halafu ni risk taker wa hali ya juu, sisi wanaume huwa tuna hofu ila wao hawana hofu kabisa.Wanaume wengi huogopa kuingiza michepuko yako chumba anacholala na mkewe,ila wanawake wanauwezo wa kuleta mwanaume the same bed anayolala na mumewe,
 
Halafu ni risk taker wa hali ya juu, sisi wanaume huwa tuna hofu ila wao hawana hofu kabisa.Wanaume wengi huogopa kuingiza michepuko yako chumba anacholala na mkewe,ila wanawake wanauwezo wa kuleta mwanaume the same bed anayolala na mumewe,
Exactly, sio mara moja, ni mara nyingi imetokea
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mi na kumbuka kuna kaka nilikua nasali nae kanisa moja yeye anaimba kwaya sasa kila tukitoka kanisani anatupiga tafu mimi na dada zangu badae akawa anakuja Hadi home anajiiba iba bwana we sister si akamuona akamwambia maza kua uyu anazoeana na yule kijana muimba kwaya na alikua anafanya kazi mie nipo form2 sasa miezi tukapanga na yule kaka kua jumamos nikitoka tuition nipitie kwake anifundishe mahaba yalivyo mana nilikua bdo bikrA we kumbe sister akausoma mchezo bwana we nipo kwa jamaa ndo kwanza nimefika tunashkana mie ndo naona utamu unanoga mara mlango huo ukafunguliwa kutizama maza na sister na brother wangu mkubwa kafula mbona ulikua mtiti mie kilio kama nimefiwa mpaka mjumbe kuingilia bado kdg jamaa apelekwe police unaambiwa jamaa kesho yake alitoroka na begi sikumuona tena mpaka nilipokua chuo ndo tulikutana town kashaoa [emoji23][emoji23][emoji23]
pole sana yan walikukatisha uhondo..
 
pia kuna siku kipindi nikiwa mgeni ktk malove nilikutana na mtt wa kipare mjini moro mkali kichiz nikafanikiwa kumtia nyavuni.

Aisee kwenda Ccm kirumba mtoto kachojoa dah msafi hana hata doa papuch safi kama wale wa kwenye move.

Aise nilichanganikiwa nikajiona kama nipo kwenye tv. Baada ya michezo ya hapa na pale nilipomuingiza tu Babu seya kichwa pale pale wazungu wakatoka nje aisee. Alinipa hofu nilikuwa siamini kama tz kuna watu kama wa kwenye zile move nilikosa confidence kabisa akawa ananituliza.
Duuh mkuu uliendelea na Gem au Dushe lilishindwa kuendelea na kabumbu, mi naikumbuka km hiyo nilikua nikiingiza tu scratch mbili tatu namwaga nikasema leo naumbuka ila mwanaume nilijitahidi nikapiga Goli km nane hivi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom