Nimeshawah kufanya interview NMB maswali yao ni zile hesabu za mafumbo mafumbo, kama huyo jamaa hapo aliyekwambia kwamba "bata mbele ya bata na bata nyuma ya bata ni bata wangapi?" Its true huwa wanatoaga maswali ya namna hiyo so inabidi IQ yako ya maths iwe high kidogo, then kwa kukusaidia tu...
Tatizo sio kujibiwa tujiongeze pia muda mwingine mtu anakuwa offline,so ungevuta subira kidogo mpaka kesho hivi ndo ungenipa hizo lawama, I was offline
So far jumatano watu wanaenda kufanya written interview
Jumamosi walikua wanakaguliwa vyeti
Haya nipe idea ya maswali nimpe mwana
Natumaini mpo wazima, naombeni mtu mwenye 'idea' ya maswali yanayoweza kutoka katika 'written interview' ya uhamiaji anisaidie, au muundo wa maswali yake unakuaje,' please' naomba anisaidie, asanteni sana.
Mmmm [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] doh! Dada/kaka umeandika kwa hisia [emoji23] [emoji23] Magufuli atatutoa roho na hizi ajira, mshaanza kupigana kwenye comment [emoji23] sasa hiyo siku ya interview itakuaje?
Omba Mungu nyie wavamizi msiwe wengi ila mkiwa wengi nakwambia mtatolewa wote watabaki wavamizi wenye connection ila its good kujaribu huwez jua bahati yako ila bado omba msiwe wengi sana kwenye eneo la tukio, coz nna rafiki yangu alikua wakujitolea anakwambia wenye wenye degree na vigezo hivyo...
Hamna hata cha ubora washkaji zangu wamerudi juzijuzi wamekaa miaka 3 wamechakaaa, bora hata ungempeleka kijijini ukampa alime heka zake za vitunguu apate hela kuliko kwenda kulilimia jeshi alafu unatoka kapa, so usifurah saanaaa muombee tu Mungu maisha yamebadilika
Ila nilikwambia dogo ujiandae na kwata na kule utaenda kukutana na wanajeshi, ukaniona nakupa ronja za uongo [emoji23] [emoji23] , ila mwanaume wa kweli anapambana akimbii majukumu, sasa wewe umekimbia kwenye interview na namba ulipewa doh hahaahahaaaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.