Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Msaada katika Usaili wa Security Officer TAA

Ndugu zang kwenye dondoo nilizotoa kuhusu security hamjakuta au kufananisha hata moja
 
Ndugu zang kwenye dondoo nilizotoa kuhusu security hamjakuta au kufananisha hata moja
Mzigo ulikuwa hivi nimetoa kwa fulani.


1. What are the problems that can lead into poor research design?

2. Explain types of electronic security devices uses?

3. Narrate seven natural security barriers?

4. (Nimesahau)

5. What are disadvantages of direct observation? (on research perspective)
 
Akivuka kwenye mchujo ndipo uje tukupe ujanja. Kwasasa hapo alale tu asubiri bahati.
Maana mchujo ni wakufa mbwa kama si mtu
Ndugu yangu mdogo wetu amefanikiwa kuvuka mtihani wa mchujo sasa ni wakati wako wa kushusha nondo kwa ajili ya hiyo Oral.

Nategemea msaada wako ndugu..
 
Msaad nawez kuitwa kwenye interview ya written airport mechanical technician msaada wap kuzingatia san wakuu
 
Habari wapendwa, nilifanya Oral interview ya Airport Security Officer II Utumishi mwaka huu 2022 mwezi wa tisa tarh 17, ila mpaka sasa hawajatoa placement, naomba kujua kwa mtu mwenye uzoefu, huwa inachukua muda gani placement kufanyika kwa sasa?
 
Habari wapendwa, nilifanya Oral interview ya Airport Security Officer II Utumishi mwaka huu 2022 mwezi wa tisa tarh 17, ila mpaka sasa hawajatoa placement, naomba kujua kwa mtu mwenye uzoefu, huwa inachukua muda gani placement kufanyika kwa sasa?
Yaani wewe umefanya oral juzi umeanza kuulizia sasahivi!!

Wapo waliofanya oral mwezi wa sita huko na bado placements hazijatoka.

Endelea kusubiri zinaweza kutoka mwakani
 
Yaani wewe umefanya oral juzi umeanza kuulizia sasahivi!!

Wapo waliofanya oral mwezi wa sita huko na bado placements hazijatoka.

Endelea kusubiri zinaweza kutoka mwakani
😂😂😂😂Umeamua kumuua kabisa hahhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom