Recent content by HEARTZ

  1. HEARTZ

    Msaada kwa kupata ajira digrii ya mipango na maendeleo ya jamii

    Habari wanajamii wenzangu,Mimi nimemaliza chuo mwaka 2022 kozi ya MIPANGO na MAENDELEO ya JAMII ,naombeni kwa mtu yeyote mwenye kusaidia kupata nafasi ya Kazi kwenye kampuni au taasisi yeyote , nitashukuru sana.
  2. HEARTZ

    Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Kwahyo ulitaka wakurupuke .
  3. HEARTZ

    Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

    Mimi nilikuwa natafuta gari ya mkononi Kuna mtu akaja inbox na picha za gari,nikamwambia njoo nayo dar ili tuingalie then tufanye MALIPO ,baadaye akasema gari Haina mafuta ya kutosha kwahyo nitume ela ya mafuta ili aanze safari usiku , tokea nitume Ile ela sijaona gari Wala simu kupatikana Mpka...
  4. HEARTZ

    Mtu kama huyu mnamsaidiaje?

    Bora ya wewe amerudi na vyeti, wangu ata vyeti amegoma kurudi navyo ukimuuliza anakuambia 4m4 hakumaliza ada.
  5. HEARTZ

    LGE2024 Kigoma: Zaidi ya Wananchi 200 wakimbilia porini wakihofia Usalama wao

    Operation isiyo salama ndo kitu gani ndugu mwandishi
  6. HEARTZ

    DOKEZO NACTVET wanafelisha wanafunzi wa Clinical Officer makusudi, mamlaka husika naomba iliangalie

    Kama hukusoma unataka ufàulu kweli..... Kijana ebu kuwa seriously
  7. HEARTZ

    A serious woman to Marry is needed

    😀😀😀😀
  8. HEARTZ

    Msaada: Mke wangu mtarajiwa anawasiliana na ex wake, nifanyeje?

    Tafadhari kama kijana nakushauri apo KIMBIA HARAKA SANA, usiseme sikukuambia
  9. HEARTZ

    Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

    Kwanza naomba nitoe pole kwa familia ya mtoa mada kwa haya mazito yaliyoikumba familia kwakweli watu wema wamekuwa wakiangamia sana kwa kutokujua nn wanalolifanya na hii imesababushwa na wengi wetu kukosa subira ,maono na kushindwa kuomba ushauri kwa ndugu,marafiki au majirani ili kupata msaada...
Back
Top Bottom