Kibonge
Tuache yote, Ukweli usiopingika, kila timu kubwa inajua Messi n nani, na anaweza kufanya nn muda wowote
Hivyo anavyoingia uwanjani, Kuna watu wanapewa kazi ya kumkaba messi na ahadi kibao, na Hao watu wanakuwa visiki kweli, (roho mbaya kmnulivyowaita huko juu)
Evra, ramos, rio, vidic...