Recent content by hb Mujahideen

  1. H

    Rais Magufuli afanya teuzi mbalimbali akiwemo DC mpya wa Ilala

    Na ndio maana timu wajumbe inasafishwa [emoji23]
  2. H

    Rais Magufuli afanya teuzi mbalimbali akiwemo DC mpya wa Ilala

    Unateuliwa, Lkn huridhiki, unaendelea na roho ya ujumbe, haswa wakati km huu Hakuna namna, wacha tuweke sawa, Timu wajumbe itatucost, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. H

    Uvumilivu unaelekea ukingoni

    Kata kichwa Over
  4. H

    GE2020 Spana za Lissu kwa siku 60 Vs miaka mitano ya Siasa kwa CCM

    Mataga ndo tunaamka, Ila Leo tumechelewa namba, naamin fimbo zitatuhusu, yaan Toka juu had na comment hakuna wa kijani ht mmoja Kazi tunayo leo Twende na lisu, *sasa basi*
  5. H

    Mama Samia: Paul Makonda alisimama ndani ya Bunge la Katiba na kusema mimi nafaa kuwa Makamu wa Rais na Bunge zima likashangilia!

    Tuleteeni makonda kigamboni iwe km Paris Nyie wajumbe wa jf msituletee uchawi, Naamin kamati kuu ndo kila kitu na watatuletea mtu wetu, Kigamboni itawaka moto,
  6. H

    Kwa hili, Messi na Mashabiki wako mnatudanganya sana

    Kibonge Tuache yote, Ukweli usiopingika, kila timu kubwa inajua Messi n nani, na anaweza kufanya nn muda wowote Hivyo anavyoingia uwanjani, Kuna watu wanapewa kazi ya kumkaba messi na ahadi kibao, na Hao watu wanakuwa visiki kweli, (roho mbaya kmnulivyowaita huko juu) Evra, ramos, rio, vidic...
  7. H

    Kwa hili, Messi na Mashabiki wako mnatudanganya sana

    Kuna jamaa alisema barca itashuka kuwa km man u, ndo nikamjibu hivyo, Ila nilijisahau ikaja bila Marking
  8. H

    Kwa hili, Messi na Mashabiki wako mnatudanganya sana

    Bacra usiifananishe na Manyumbu kaka yao utopolo
  9. H

    CHADEMA na ACT-Wazalendo mna wajibu mkubwa kwa wapiga kura wenu

    Washachelewa, wasubili kipigo tuh
  10. H

    Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

    Nia hukuzisikia mkuu?
  11. H

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Yaan chupa ya koka ndo iwe fact ya kubisha kuwa n uongo? Je, km ni chupa waliyotoka nayo duniani? Kuna vitu bila kujiongexa hutoboi
Back
Top Bottom