Kwa hili, Messi na Mashabiki wako mnatudanganya sana

Umekua biased sana kumdisqualify kama G.O.A.T kwa kuangalia data za msimu huu tu. And so far still ni better stats kwa La Liga msimu huu
 
Mkuu ni kweli hapo nilikua na Maana ya Vidic na siyo Matic.

Swala la Schneider kutwaa vikombe ,kupiga assist na kuitoa Barcelona ndiyo statistics zenyewe ambazo mimi na wewe tumekubaliana kuwa hatuzizingatii kwenye kuamua ubora wa mchezaji....Unaji contradict.
Kuhusu Zlatan nimetolea mfano swali alilouliza kisha nikalihamishia kwako ulijibu sikusema hiyo kauli ni final...kiukweli in 2010 Messi alikua na kiwango bora kuliko Schneider tukiweka stats pembeni.

Mpira umebalika kwa maana ya biashara inayofanyika....Timu kama Napoli kwa ilivyo ni ngumu kumnunua Messi zamani timu hazikutofautiana sana uwezo ndo mana kina Maradona walicheza huku na huko....tukisubiri Messi ahamie Napoli tumlinganishe na Maradona tunakosea...siyo rahisi kutokea
 
Nabii Kibonge Messi atabaki kuwa GOAT hiyo Argentina tuu nna uhakika bila Messi zile fainal mbili za Copa America na fainali ya world cup wangeisikia tuu.

Kuna waliosema Gaucho akiondoka Messi ataisha Gaucho akaondoka Messi akaendeleza Dozi,wapo waliosema akiondoka Iniesta na Xavi Messi ataisha ila ndio kwanza takwimu zinawaumbua.Kauli atayoongea mtu takubaliana naye ni kuwa akiondoka Messi Barca itashuka tamuelewa.

Messi ni GOAT sababu ni wachezaji wachache wenye umri wa Messi akupe vyote.Messi anaplay role kama playmaker,goal getter,assist makers paka sasa na umri wake wa 33yrs bado anakupa hivyo vitu.Messi ndio anaeibeba Blaugrana mgongoni na hata mafanikio ya Barca miaka hii ni Messi(45%).Kamuulize babu Fergie atakuambia mtu aliyezimaliza zile fainal ni huyo Messi unayemkataa.
 
Nabii kibonge ukimaliza naomba unichambulie stats za CR7 akiwa juventus magoal 31 penalty ngapi na assist ngapi na free kicks ngapi na header ngapi
Ronaldo msimu huu ni utopolo ila hajaacha sana na Immobile af pia simlaumu, juventus wapo hovyo msimu huu hata kwa kucreate chances wanazidiwa hata na atalanta au Leicester nadhan kuna shida kataika kupata collabo nzuri ya middle yao either bentacur na bernadeschi au kina matuidi na ramsey au rabiot
 
Nabii Kibonge Messi atabaki kuwa GOAT hiyo Argentina tuu nna uhakika bila Messi zile fainal mbili za Copa America na fainali ya world cup wangeisikia tuu.

Kuna waliosema Gaucho akiondoka Messi ataisha Gaucho akaondoka Messi akaendeleza Dozi,wapo waliosema akiondoka Iniesta na Xavi Messi ataisha ila ndio kwanza takwimu zinawaumbua.Kauli atayoongea mtu takubaliana naye ni kuwa akiondoka Messi Barca itashuka tamuelewa.

Messi ni GOAT sababu ni wachezaji wachache wenye umri wa Messi akupe vyote.Messi anaplay role kama playmaker,goal getter,assist makers paka sasa na umri wake wa 33yrs bado anakupa hivyo vitu.Messi ndio anaeibeba Blaugrana mgongoni na hata mafanikio ya Barca miaka hii ni Messi(45%).Kamuulize babu Fergie atakuambia mtu aliyezimaliza zile fainal ni huyo Messi unayemkataa.
Anaibeba ndio shida ni kwamba barca sasa inatisha kama kipindi kile????? Mwaka wa 5 huu hamna UEFA na tuseme ukwel level ya barca au madrid tunaipima kwa Uefa maana kuchukua ligi ni kawaida tu toka miaka na miaka sawa na bayern tu
 
Mkuu kuhusu boateng naona hama point apo kwamba kupigwa kijoka cv inashuka? Nafkiri unalifahamu goli maarufu la Jay Jay Agustin Okocha dhidi ya Oliver khan alivochukukiwa niambie ulisikia wapi heshima ya oliver khan imeshuka?????? Sitaki kuongea bao la diego maradona alivyosepa na kijiji toka katikati ya uwanja dhidi ya ujerumani apo vipi tena??????? Bado kina Gaucho so sioni point yako
Kumuharibia mtu Cv ni lugha ya kimchezo tu mkuu ni kama kumuaibisha mtu...lengo ni kukuonyesha Messi si mchezaji wa kawaida huyo Boateng alikua ni regular starter wa Bayern pia Germany national team ambayo ni World Cup Winner...siyo beki wa Aston Villa mkuu.
Pia huyo Messi ndo alianza kumfunga Iker Casillas kama alivyotaka through zile chipping zake...kifupi mechi kwa yeye kama yeye amesha prove kila kitu...suala la vikombe vya timu hilo ni suala la timu na Kocha siyo Messi.

Mimi si shabiki wa Messi ila nasema tu ukweli..mimi nishabiki wa Zidane na Gaucho napenda mchezaji anaye enjoy football...
 
Kumuharibia mtu Cv ni lugha ya kimchezo tu mkuu ni kama kumuaibisha mtu...lengo ni kukuonyesha Messi si mchezaji wa kawaida huyo Boateng alikua ni regular starter wa Bayern pia Germany national team ambayo ni World Cup Winner...siyo beki wa Aston Villa mkuu.
Pia huyo Messi ndo alianza kumfunga Iker Casillas kama alivyotaka through zile chipping zake...kifupi mechi kwa yeye kama yeye amesha prove kila kitu...suala la vikombe vya timu hilo ni suala la timu na Kocha siyo Messi.

Mimi si shabiki wa Messi ila nasema tu ukweli..mimi nishabiki wa Zidane na Gaucho napenda mchezaji anaye enjoy football...
Bado boateng kuwa starter so ishu tunarud pale pale kwa oliver khan na tusem ukweli tu Messi ni anajua ndio ila level ya kuitwa G.O.A.T bado sana af isitoshe Messi anapaishwa sana utasikia ni Alien mar nini tofauti na his actual ability ni kweli anajua
 
Kibonge

Tuache yote, Ukweli usiopingika, kila timu kubwa inajua Messi n nani, na anaweza kufanya nn muda wowote

Hivyo anavyoingia uwanjani, Kuna watu wanapewa kazi ya kumkaba messi na ahadi kibao, na Hao watu wanakuwa visiki kweli, (roho mbaya kmnulivyowaita huko juu)
Evra, ramos, rio, vidic, Hao n visiki ambao kumkaba messi kwao n kazi rahisi Sanaa

Thus y anashindwa kufanya chochote mbele ya timu kubwa point kuu ndo hiyo

Bacra inakaribia kuwa Manyumbu au km cheltako, ukitaka uimalize kaba messi, kwa timu kubwa uwezo huo wanao, ndio maana kipindi kile cha kina xavi, iniesta aliwez kuwachabanga ht timu kubwa Coz alikua anawasaidizi wa kutosha

Hebu, angalia baadhi ya Mifano,

Semi final ya uefa kati ya barca na Chelsea 2010,(game iliniuma kutolewa sito sahau) the way messi alivyowekwa mfukono na Ricardo cavarinho akisaidiana kwa karibu sana na Terry mbele Kuna essien, hakufurukuta,

Chelsea Walitolewa raundi ya pili pale darajani Lkn kwa kubebwa na refa,

Fainal ya barca na Manyumbu, aliwamaliza kwa kichwa, Lkn ktk mazingira ambayo ilikuwa km miujiza tuh, Ila kwa chini alichemka mkuu

Sasa kwa mziki km ule unaanzaje kushangaa hafungi mechi kubwa,? Na Mifano iko mingi wewe mwenyewe unaijua

Pia hizi timu ndogo anazichabanga khaswaa,, Coz hazina ukuta wa kutosha, unakuta beki ni sol Campbell, caragher ht ukimpa kazi ya kutembea na Messi hawezi hapo messi ndo anapiga ht tatu pekee, tena bila assist yyte
 
Sijakataa kufunga afunge lakini concept yangu ni kwamba messi anaonesha ubora wake akicheza na timu ndogo tu na anashindwa kuoneshe perfomance kwenye mechi kubwa
Nitajie club kubwa duniani ambayo unadhani messi hajaifunga
 
Nikukumbushe tu huu ni mwaka wa 5 barcelona na messi wake hawana uefa na shida ni dafeat from teams like Liverpool Roma na Juve Na Atletico madrid kama messi angekuwa na great perfomance dhidi ya timu kama hizi nafkiri tungeshuhudia uefa hata 1 isitoshe 2015 unajua ukwel bila neymar wasingeshinda na bado sionei 2011 na 2009
Wewe unavuta bhangi? Mimi ni liverpool fan lakini shughuli ya messi naifahamu pia ukizungumzia hivyo tutajie mchezaji mmoja tu ambae yeye kila mechi alikuwa anafunga
 
1. Takwimu za messi katika campaigns za La liga 2019/2020
Messi amemaliza akiwa na magoli 25 na assist 21, kiukweli ni perfomance ya hali ya juu lakini ukichunguza kiundani utajua how stats can fool you.

Katika magoli 25 ya messi, magoli 20 amezifunga timu zilizo chini ya nafasi ya 10 (11-20) hii ni 80% ya magoli yake yote

KWAHIYO HIZO TIMU ZA CHINI ULITAKA AFUNGE NANI?
Hii ni panick, shusha nondo mkuu na sisi tufaidike na ubishi huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom