Ndugu wanajamvi naombwa kujuzwa kuhusu hii kampuni ya tango transport. Miaka ile ya tisini ilikua ni kampuni kubwa sana ya usafirishaji pale Arusha, ila sasa sijui ni nini kimeikumba kampuni hii. Tafadhali mlioko arusha mtujuze kwani magari yanaozea pale viwanja vya nmc. Nawasilisha
Wadau juzi king'amuzi changu cha zuku kilikata network. Jana nikanunua kifurushi cha zuku poa 16000. Chaajabu zile channel walizooredhesha kwenye manu yao hazipatikani hata tbc1 hakuna. Ni za kichina na baadhi za kiarabu. Najaribu kupiga namba zao za huduma hazipokelewi toka jana. Nahisi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.