Nimeomba bar code ya isbn kwa ajili ya kitabu lakini wiki mbili sasa wanasema system inasumbua.
Imagine kamfumo hako kadogo tu kanasumbua. Kitu ambacho wenzetu wanafanya online dk mbili?
Tutoke huko kwenye mambo ya kizamani dunia inakwenda kasi sana tukimbie nayo plz
"Unajua ni hatari sana sisi kuwa wakweli?"
"Kwa kazi zetu hizi lazima tuwe waongo waongo ndio tueleweke unajua..."
"Lakini mbona wa kule magharibi sio waongo waongo? na mbona wakiahidi wanatimiza?"
"Wee wale wananchi wa kule hawaelewi ahadi za uongo"
"Ahaa kwa hiyo tatizo ni wananchi ee."...
Kuna people kazi yao kuponda kuwa kinyume na ukweli utasikia wanawake wa kuoa ni darasa la saba au form four eti wenye degree hawana unyenyekevu.
Watu wanaisupport tu. Utasikia wanawake wanene hawajui kukataa wanaume, mara wembamba ni michepuko, kuna vitu vingine ni ushamba eti kabila fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.