Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Mfanyie yafuatayo;
1. Mpatie chakula na maji ya kunywa,
2. Mpatie maji na sabuni aoge,
3. Mvishe nguo,
4. Mpeleke kanisani mkamuombee na waumini wenzako, na mwisho,
5. Mpatie fedha za kujikimu.
Utaona matokeo....! Na hapo ndio utakuwa umempenda sawasawa...!
1. Mpatie chakula na maji ya kunywa,
2. Mpatie maji na sabuni aoge,
3. Mvishe nguo,
4. Mpeleke kanisani mkamuombee na waumini wenzako, na mwisho,
5. Mpatie fedha za kujikimu.
Utaona matokeo....! Na hapo ndio utakuwa umempenda sawasawa...!