Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Mfanyie yafuatayo;
1. Mpatie chakula na maji ya kunywa,
2. Mpatie maji na sabuni aoge,
3. Mvishe nguo,
4. Mpeleke kanisani mkamuombee na waumini wenzako, na mwisho,
5. Mpatie fedha za kujikimu.

Utaona matokeo....! Na hapo ndio utakuwa umempenda sawasawa...!
 
Mariana nianze kwa kukupa pole. Pili tafiti zinaonyesha kuwa kila mtu ni kichaa tofauti ni kiwango "degree" jamaa anayekurusha roho ni kichaa na umemtamani baada ya kumwona akiwa uchi na ukubwa wa sehemu zake ndo zimehusika. Watu hutamani au hutamanishwa kwa kupitia milango mitano ya fahamu yaani kuona, kugusa, kunusa, kusikia na hata kulamba. Kwa mujibu wa Sigmund akili za binadamu huongozwa na mambo matatu "Id, Ego na Superego" Id ndo ya kuzaliwa nayo na ndo baba wa tamaa zote na hiyo ya kwako. Pamoja na tafiti nyinginezo na wewe kwa kumtamani kichaa na ukiwa na mmeo na kila siku wamwaza hadi naye kakugundua hadi ameanza kukufuata home wewe pia una u kichaa na ukivuka kiwango hicho utaingia kwenye kundi jingine lenye jina nympomanic na hii ni hatari kwa mwanamke . Cha kufanya wahi kwa daktari wa afya ya akili na utapewa msaada. Mko wengi ila we ndo umejitokeza jf wenzio hujiunga na makunďi ya dada poa. Na kwa taarifa yako si dada poa wote wana ugumu wa maisha wengine ni hali km hizi.
 
Kunauwezekana anaye dhaniwa kuwa chizi sio chizi na anae onekana mzima ndyo chizi.
Uigizaji hauna mipaka ukiona umempa alafu akapona ujue mission successful.
 
dude i feel you, yaani dah pamojamna kwamba kila situation ni unique ila numbers don't lie maana yake kama asilimia kubwa ni majanga ina maana hata ww ukioa ni hivyo maana jamiimtunayoishi ndio hii hii.Wacha niendelee kuwa boyfriend tukwa muda...japo wenyewe wana push hao wanataka kuolewa balaaa.

huu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
d
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Ebu jaribu kuuliza vizuri familia yako kwa maana ndugu zako, inawezekana na wewe uliwahi kuwa kichaa! Hvy hauna budi kumpenda mwenzio
 
Wadau shalom,

Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.

Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.

Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.

Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.

Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.

Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.

Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.

Asanteni
Mgh kazi ipo Saaaaana tu, we mpe make huwezi shindana na moyo wako. Halafu jiandikie talaka kabisaa na aibu juu na kuaibisha kanisa...
 
Tafuta vijana wape kazi ya kumkamata wamuogeshe wamnyoe vuzi wamkate nywele wiki nzima wafanye hivyo kisha wampake mafuta saafi ukiridhika msafi na wewe jipake mafuta huko chini mvammie mbakeee hakikisha haupo siku hatari kuepuka mimba hakikisha unatumia kondomu maana wengine wamepata vichaaa baad ya kugundulika wana ukimwi...
 
Ni kweli au uliota?

Hilo ni tatizo la kusolve KIROHO...huyo ni shetani anataka kukutoa katika mstari mzuri na kukuharibia ndoa na maisha yako kwa ujumla. Kichaa gani anakuita kwa ishara hiyo na zaidi kukufuata hadi getini?

Jiimarishe zaidi kwa Mungu wako kwasababu yeye HAJAWAHI KUSHINDWA.

"Tamaa Huzaa dhambi, Dhambi ikikomaa huzaa Mauti" kuwa makini na ndoa yako.
 
huu mwaka natamani sana nioe!, ila ninapokutana na threads kama hizi huwa nachoka na kuregea kabisa. Sijui niarishe tu! kweli naamini TUNAOA KWA IMANI kama tulivyopokea wokovu! lasivyo mbele hatusongi!!!!. Nyeti hazina ukichaa: ukichaa wa mtu ni baadhi ya viungo tu! na wala si viungo vyote vimeathiriwa. inavyoonyesha kama umefuga nguruwe huko kwako basi utakuja kumtamani hata nguruwe kwakuwa ana dudu ndefu!!!!!!
Ndoa inakatisha tamaa sana,mimi nilitamani na kupanga kabisa iwe mwaka jana ila nikawa disapointed,na sasa nategemea labda 2018.
 
Hivi ukishakuwa mke wa mtu unakuwa malaika ghaflaaaa!! Kuokoka sio guarantee ya yeye kutokutenda dhambi, she is still a human being, na utambue kuwa walomkamata Yesu ndio majaribu yanawaandama hatari maana ndio shetani anawatafuta haswaaaaa, kwahiyo ameomba ushauri km unao mpe na sio kumuona kama mdhambi alokubuhu, no one is perfect aisee.
"Tumesamehewa Dhambi na si Majaribu "
 
Back
Top Bottom