Usiangalie maneno yangu bali makunyanzi yangu na idadi ya kilo za chumvi nlokula. Yani kama si babu yako kuniwahi, ningezaa na bibi yako you know?
Himidini huyu mtoto aliyezaliwa leo anakataa kutoa shikamoo kwa wakubwa,,eti kwani katimiza miaka kumi na ngapi??
Cc nameless girl
Jana mlieleana na hommie wangu Kaizer? Kama hamkueleana njoo pande hii tieleane kwa niaba yake.
ewaaa. hebu do the needful chapchap sana. Mwambie kabisa akuje huko wizaut.
Hahahaaaaa si bora umwage kila kitu hapa tu... mie nimepigwa bonge la 'bani' ya PM mkuu
Lol... so we ni wa century ipi sasa?
Jaman naomba kirefu cha dp...naambiwa tu ur dp unependeza kwa watsap but sjui kirefu chake
Jaman naomba kirefu cha dp...naambiwa tu ur dp unependeza kwa watsap but sjui kirefu chake
Hebu delete hii post fasta kabla Kaizer hajaisoma.